Tarehe iliyowekwa: March 22nd, 2024
Halmashauri ya Mji Njombe imetoa zawadi ya shilingi laki tano na cheti kwa shule ambazo zimefanya vizuri kwenye mtihani ya taifa kwa mwaka 2023
Akizungumza Machi 22,2024 mara baada ya ugawaji w...
Tarehe iliyowekwa: March 20th, 2024
Kuelekea Kilele cha maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani tarehe 24 Machi 2024, zaidi ya wananchi 300 wa kijiji cha Mamongolo kata ya Makowo Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa elimu ya kifua ki...
Tarehe iliyowekwa: March 8th, 2024
Wanawake wametakiwa kutafuta maarifa yatakayowasaidia kuongeza kipato na kukuza uchumi kwenye familia zao.
Rai hiyo imetolewa na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka...