• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kupata Hati ya kumiliki Ardhi

ILI KUPATA HATI YA KUMILIKI ARDHI ZINGATIA YAFUATAYO;

  1. Kwanza eneo husika liwe limepimwa na kupangiwa matumizi bora ya ardhi na ramani ya upimaji iwe imeidhinishwa  na Mkurugenzi wa ramani na upimaji
  2. Mmiliki lazima aombe maombi ya kumilikishwa ardhi na ajaze fomu ya maombi na kulipia gharama za maombi kiasi cha Tshs 20,000/= fedha ambazo huwa hazirejeshwi
  3. Baada ya kukidhi vigezo vya kumilikishwa ndipo taratibu za kuandaa nyaraka zinaanza ambapo atatakiwa kujaza fomu,kuambatanisha picha za passport size sita  na kufunguliwa jalada 
  4. Mara baada ya kufunguliwa jalada,Afisa Mipangomiji ataidhinisha matumizi halisi ya eneo husika.Lengo la kuomba matumizi ni kuweza kubainisha aina ya kodi itakayolipwa. Mfano kama matumizi ni kwa ajili ya;  
  • Makazi (Residential)
  • Makazi na Biashara (Commercial and Residential)
  • Biashara (Commercial)
  • Kuabudia (Religion)
  • Industry (Viwanda)

       6. Mara baada ya kupata matumizi husika Mthamini atatoa makadirio ya malipo ya maandalizi ya hati kulingana na matumizi yaliyopangwa.

       7. Barua ya Toleo (Letter of  Offer) hujazwa na mteja huandaliwa bili ya malipo.

       8. Barua ya Offer hupelekwa kwa Afisa Ardhi mteule na  kusainiwa na ndipo taratibu za kuandaa hati huanza mara moja.

       9. Mpima Ardhi (Land Surveyor) atachora ramani ndogo (deed plan) ambayo inaonyesha vitu vifuatavyo;

  • Namba ya kiwanja (Plot Number)
  • Kitalu         (Block)
  • Eneo         (Location)
  • Namba ya ofisi ya ardhi  (Land Office Number)
  • Vipimo   (Measurment)

NB: Namba ya Ofisi ya Ardhi (Land Office Number)

Ni namba inayotolewa na Afisa Ardhi anayoonyesha kuwa hati iliyoandaliwa imeandaliwa Mkoa gani,Wilaya na katika ofisi ipi.

10. Baada ya ramani kukamilika na kusainiwa na Mpima Ardhi,hati huandaliwa na muhusika au mteja hupatiwa kwa ajili ya kusainiwa.

11. Hati huchukuliwa na kupelekwa kwa Kamishna wa Ardhi kwa hatua ya usajili

Nyaraka zitakazopelekwa kwa Kamishna wa Ardhi ni;

  • Barua ya maombi
  • Cheti cha kuzaliwa
  • Barua ya toleo  (Letter of offer)
  • Rasimu ya hati
  • Barua ya historia. (Covering letter

Hati itakua imekamilika mara baada ya kukamilika kwa hatua zote kikamilifu.




Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (LAAC) YAKAGUA MRADI WA STENDI NA SOKO NJOMBE

    March 17, 2022
  • MBUNGE MWANYIKA ATOA MIFUKO YA SARUJI KUCHANGIA UJENZI WA MIRADI JIMBO LA NJOMBE MJINI

    March 09, 2022
  • Milioni 368 zawanufaisha Vikundi vya Wanawake Vijana na Walemavu Njombe

    March 04, 2022
  • Baraza Maalumu la Waheshimiwa Madiwani lapitia na kupitisha rasimu ya Bajeti kwa 2022/2023

    February 11, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe