• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kupata Hati ya kumiliki Ardhi

ILI KUPATA HATI YA KUMILIKI ARDHI ZINGATIA YAFUATAYO;

  1. Kwanza eneo husika liwe limepimwa na kupangiwa matumizi bora ya ardhi na ramani ya upimaji iwe imeidhinishwa  na Mkurugenzi wa ramani na upimaji
  2. Mmiliki lazima aombe maombi ya kumilikishwa ardhi na ajaze fomu ya maombi na kulipia gharama za maombi kiasi cha Tshs 20,000/= fedha ambazo huwa hazirejeshwi
  3. Baada ya kukidhi vigezo vya kumilikishwa ndipo taratibu za kuandaa nyaraka zinaanza ambapo atatakiwa kujaza fomu,kuambatanisha picha za passport size sita  na kufunguliwa jalada 
  4. Mara baada ya kufunguliwa jalada,Afisa Mipangomiji ataidhinisha matumizi halisi ya eneo husika.Lengo la kuomba matumizi ni kuweza kubainisha aina ya kodi itakayolipwa. Mfano kama matumizi ni kwa ajili ya;  
  • Makazi (Residential)
  • Makazi na Biashara (Commercial and Residential)
  • Biashara (Commercial)
  • Kuabudia (Religion)
  • Industry (Viwanda)

       6. Mara baada ya kupata matumizi husika Mthamini atatoa makadirio ya malipo ya maandalizi ya hati kulingana na matumizi yaliyopangwa.

       7. Barua ya Toleo (Letter of  Offer) hujazwa na mteja huandaliwa bili ya malipo.

       8. Barua ya Offer hupelekwa kwa Afisa Ardhi mteule na  kusainiwa na ndipo taratibu za kuandaa hati huanza mara moja.

       9. Mpima Ardhi (Land Surveyor) atachora ramani ndogo (deed plan) ambayo inaonyesha vitu vifuatavyo;

  • Namba ya kiwanja (Plot Number)
  • Kitalu         (Block)
  • Eneo         (Location)
  • Namba ya ofisi ya ardhi  (Land Office Number)
  • Vipimo   (Measurment)

NB: Namba ya Ofisi ya Ardhi (Land Office Number)

Ni namba inayotolewa na Afisa Ardhi anayoonyesha kuwa hati iliyoandaliwa imeandaliwa Mkoa gani,Wilaya na katika ofisi ipi.

10. Baada ya ramani kukamilika na kusainiwa na Mpima Ardhi,hati huandaliwa na muhusika au mteja hupatiwa kwa ajili ya kusainiwa.

11. Hati huchukuliwa na kupelekwa kwa Kamishna wa Ardhi kwa hatua ya usajili

Nyaraka zitakazopelekwa kwa Kamishna wa Ardhi ni;

  • Barua ya maombi
  • Cheti cha kuzaliwa
  • Barua ya toleo  (Letter of offer)
  • Rasimu ya hati
  • Barua ya historia. (Covering letter

Hati itakua imekamilika mara baada ya kukamilika kwa hatua zote kikamilifu.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Mji Njombe yazindua wiki ya Mazingira kwa kufanya Usafi Idundilanga

    May 31, 2025
  • WATUMISHI WA DINI WATOA DUA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE

    May 31, 2025
  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe