• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Bilioni 375.4 zimeelekezwa kwenye miradi Mkoani Njombe

Tarehe iliyowekwa: January 16th, 2022

Akizungumza wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa vyombo vya habari Mkoani Njombe, Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Mkoa wa Njombe  kwa kipindi cha miezi 9 cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umepokea shilingi Bilioni 375.4 fedha ambazo zimeekelezwa katika kutekeleza miradi kwenye sekta ya Barabara, Maji, Elimu na Afya

“Njombe ni Mkoa wa Kilimo kwa Sehemu kubwa, ni moja ya Mikoa inayotegemewa kuzalisha chakula na kwa sasa ni Mkoa ambao unaibuka kwa kasi kubwa kuzalisha mazao ya biashara vikiwemo viazi, mbao, na parachichi. Sehemu kubwa ya fedha zilizotolewa hapa Njombe zimeelekezwa katika ujenzi wa barabara ili kurahisisha shughuli za maendeleo kwa Wananchi” Alisema Msigwa.

Katika sekta ya kilimo cha miti na parachichi Msemaji wa Serikali amesema kuwa takwimu za mwaka jana 2021 Mkoa wa Njombe umeweza kukusanya mapato ya shilingi Bilioni 7 na milioni 423 kutokana na uvunaji wa mbao na kwa upande wa kilimo cha parachichi tani 9,402 zimevunwa na kuuzwa na hivyo kupelekea shilingi Bilioni 15.6 kulipwa kwa Wakulima wa Parachichi.

Akitoa taarifa ya miradi iliyotekelezwa kupitia fedha za mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano ya UVIKO-19 Msigwa amesema kuwa Mkoa wa Njombe ulipokea kiasi cha shilingi Bilioni 7 na milioni 160, ikiwa ni kufanikisha ujenzi wa miundombinu ya Afya,        E limu ambapo mpaka sasa jumla ya vyumba vya madarasa 192 vimejengwa katika Shule za Sekondari za Mkoa wa Njombe, Shule Shikizi 32 na Mabweni 03 kwa watoto wenye mahitaji maalumu.

Akitoa taarifa ya mradi wa makaa ya Mawe na Chuma wa Liganga na Mchuchuma ulipo Wilaya ya Ludewa Msigwa amewahakikishia Wananchi wa Njombe kuwa Serikali ya awamu ya sita inaendelea na majadiliano kati ya Mwekezaji na Serikali ili kuhakikisha kuwa maslahi ya Wananchi wa Njombe na Taifa yanalindwa kabla ya utekelezaji wa mradi na Serikali imeendelea kusukuma kukamilika kwa majadiliano hayo ili mradi uweze kutekelezwa kwa haraka.

Kwa upande wa Sekta ya maji Msemaji wa Serikali amesema kuwa mpaka sasa hali ya usambazaji wa maji ni wastani upo wastani wa asilimia 72.3 Vijijini na silimia 86 Mijini licha ya kuwepo na changamoto katika kipindi cha mwisho wa mwaka 2021 kutokana na upungufu wa mvua  ambapo kwa sasa hali ya huduma ya maji imeanza kutengemaa baada ya kuanza kwa mvua. Hata hivyo Serikali imeendelea na dhamira yake ya kuchukua maji kutoka kwenye vyanzo vikubwa vya maji na mito ili kuhakikisha kuwa Wananchi wanapata maji ya uhakika.

Katika mkutano huo na vyombo vya habari Waandishi wa Habari na Wananchi waliokuwa wakifuatilia matangazo hayo mubashara pia walipata nafasi ya kuuliza maswali na kupatiwa ufafanuzi wa hoja mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe