• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

FURSA ZAIDI KWA WALEMAVU.

Tarehe iliyowekwa: November 23rd, 2023

Serikali nchini Tanzania imejipanga kutengenezea mazigira rafiki kwa watu wenye ulemavu kwa kuwajengea uwezo wa kiuchumi pamoja kuwatengenezea miundombinu rafiki na wezeshi ya kujipatia kipato.

Hayo yamezungumzwa Novemba 23,2023 na Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Bi.Judica Omari  katika ufunguzi wa Kongamano la Ugemaji kwa Watu Wasioona kuelekea kilele cha Siku ya Fimbo Nyeupe yanayofanyika kitaifa Mkoani Njombe ambapo Bi .Judica kwa niaba ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe amesema Serikali imejipanga kuhakikisha walemavu wote  nchini wanapata fursa mbalimbali za uchumi Pamoja na kuwatengenezea mazingira rafiki  na miundombinu iliyo bora ya ufanyaji wa kazi za kujiingizia kipato.

Akiendelea kuzungumza Bi Judica ameweka wazi mikakati ambayo serikali imefanya  ya kuhakikisha walemavu wanapata mikopo ya Halmashauri ambayo haina riba yeyote  kupitia mapato ya ndani ambapo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 hadi 2022/2023 serikali mkoani Njombe imetoa kiasi cha fedha shilingi milioni 840,899,416/= kutoka mapato ya ndani ya halmashauri ,kwa ajili ya kuwa wezesha watu wenye ulemavu katika shughuli mbalimbali za uchumi.

Aidha Katibu Tawala Mkoa wa Njombe ameziomba Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinatenga maeneo kwa ajili ya shughuliza za uchumi za vikundi mbalimbali vya watu wenye ulemavu Pamoja na kushirikiana na viongozi wa chama cha walemavu (TLP Tanzania League of Blind-Chama cha wasioona Tanzania).

Kwa upande wake Rased Mftaa Mkurugenzi wa kitengo cha Huduma kwa watu wenye ulemavu amesema   kuwa shughuli mbalimbali ambazo zimefanyika  katika kongamano hilo  ni pamoja na  taratibu za mikopo ya elimu ya juu, bima ya afya Pamoja na  fursa za kiuchumi kwa wasioona  .

Maadhimisho hayo kwa mwaka 2023 yanayofanyika kwa siku tatu ambapo kilele chake ni Novemba 24,2023 Kauli Mbiu ya maadhimisho hayo inasema, “UPATIKANAJI WA TEKNOLOJIA FIKIVU KATIKA UJENZI WA UCHUMI WA KIDIJITALI, NI MKOMBOZI WA MTU ASIONA NA TAIFA “

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • SIKU YA MAPOROMOKO YA MAJI

    June 16, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MHE. MTAKA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO, AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE NA MAFUNDI.

    June 13, 2025
  • Angalia zote

Video

HUHITAJI TAKUKURU THAMANI YA FEDHA INAONEKANA -MHE. MTAKA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe