• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

NBS YAANZA KUTOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NJOMBE NA RUVUMA.

Tarehe iliyowekwa: September 18th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Antony Mtaka amefungua mafunzo ya uwasilishaji ,usambazaji na Uhamasishaji wa matumizi ya matokeo ya sensa ya watu na makazi kwa  waandishi wa Habari wa Mkoa wa  Njombe na Ruvuma .

Akifungua kikao hicho Septemba 18 ,2023  mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Mtaka amewataka waandishi wa habari kuhakikisha wanatumia mafunzo hayo vizuri ili jamii iweze kupata habari zenye takwimu  sahihi 

Aidha Mhe Mtaka, amewasihi  waandishi wa habari kujiendeleza nakuwa na utamaduni wa  kujisomea na kujifuza kutoka kwa watu wengine pamoja na  kuongeza ubunifu katika kazi wanazozifanya.

"Mwandishi wa habari  mzuri ni mwandishi anayesoma kazi za wengine, ili uwe mshindani lazima uwe msomaji mzuri, Pata muda wakusoma, lazima mtafute maarifa. Dunia ya leo huna ubunifu, huna maarifa wewe umebaki nyuma sana. Tumieni hii fursa vizuri kujifunza"

Katika hatua nyingine amewakumbusha wanahabari nguvu waliyo nayo kwenye kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii endapo wataamua kuitumia kalamu vizuri kwa kuandika taarifa sahihi ambazo zinahusisha utafiti na rejea.

Naye  Spika Mstafu wa Jamhuri  ya Muungamo wa Tanzania na  Kamisa wa Sensa  Anna Makinda amesema lengo la mafunzo hayo nikuwajengea uwezo waandishi wa habari katika kuandika na kuripoti habari zinazohusisha takwimu.

"Waandishi wa habari lazima mzingatie taaluma, sisi watu wa takwimu tunataka waandishi wa habari mseme kile kilichopo kwa sababu unaweza kuwa mwandishi wa habari wa porojo tuu na wananchi wakachanganyikiwa "

Amesisistiza kuwa ni vyema wana habari wakafahamau kuwa ni vizuri wakawa na nguvu haswa kwenye masuala ya takwimu na kile watakachokiandika kiweze kuaminika kwenye jamii  kwa sababu  takwimu ndiyo inayojenga nchi.

Mafunzo hayo kwa wanahabari yanayotolewa na Ofisi ya Takwimu Taifa yanafanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe na yatahitimishwa   Tarehe 19 September 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe