Wafanyabiashara katika Soko Kuu la Njombe wananufaika na huduma ya kipekee ya uwepo wa kituo cha kulelea watoto kilichopo ndani ya soko. Kituo hiki kimewasaidia hasa wazazi wanaofanya biashara kwa kuwawezesha kuendelea na shughuli zao kwa utulivu na uhuru, wakijua kuwa watoto wao wako mahali salama na wanapewa huduma stahiki.Huduma hii imeongeza ufanisi wa kazi sokoni,usalama wa watoto na kuchangia ustawi wa familia nyingi zinazojishughulisha na biashara ndani na nje ya soko kuu Njombe.
Wafugaji wa Mtaa wa Lunywanyi waelimishwa faida za chanjo na alama ya utambuzi inayowekwa kama hereni kwenye sikio la ng'ombe.
Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.
Sanduku la Posta: S.L.P 577
Simu ya Mezani: 026-2968833
Simu ya Mkononi: 026-2968833
Barua Pepe: td@njombetc.go.tz
Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe