• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Video za shughuli za ofisi au kitaifa

  • MNGEWACHUKIA VIONGOZI KWA MICHANGO - DC SWEDA.

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe.Juma Sweda Juni 18,2025 alifanya ziara Halmashauri ya Mji Njombe na kukagua utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa matundu ya vyoo na mabweni katika shule ya Sekondari Matola,miradi inayotekelzwa kwa fedha zaidi ya Milioni 280 kutoka serikali kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri.Katika ziara hiyo alipongeza juhudi zinazofanywa na Serikali kwa kutoa fedha zinazotumika kuboresha miundombinu mbalimbali kwenye sekta ya elimu na afya jambo ambalo linaondoa usumbufu kwa wananchi kuchangia shughuli za maendeleo.Katika kipindi cha miaka 5 ,zaidi ya shilingi Bilioni 1.5 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kata ya Matola katika sekta ya Elimu na Afya.

  • FANYENI UWEKEZAJI HATA NJE YA HALMASHAURI FURSA NI NYINGI - RC .MTAKA

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Anthony Mtaka akizungumza kwenye Baraza maalumu la kujadili hoja za mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG) Juni 16,2025 pamoja na mambo mengine ametoa wito kwa Halmashauri ya mji Njombe kuchangamkia fursa za uwekezaji hata nje ya Halmashauri ili kuuendelea kuinua hadhi yake yakuwa makao makuu ya Mkoa wa Njombe.

  • PONGEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASAHURI YA MJI NJOMBE

    July 1st, 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe.Anthony Mtaka ametoa pongezi kwa waheshimiwa madiwani ambao wanamaliza kipindi chao cha uongozi baada ya miaka mitano akiwasisisitiza kutembea kifua mbele kwa kuwa  kazi kubwa iliyofanywa na serikali kwenye maeneo yao imefanyika kipindi cha uongozi wao,hivyo wayaseme mafanikio hayo kwa wananchi.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • Next →

Matangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE December 21, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA 2024. December 18, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 25, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awasisitiza wenyeviti kuhimiza maadili na uadilifu katika uongozi

    February 14, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa njombe awataka wenyeviti wa vijiji na mitaa kuweka maslahi ya jamii mbele

    February 14, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

Kurasa Mashuhuri

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe