• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

BARAZA LA MADIWANI LAKAA KUJADILI MAJIBU NA UTEKELEZAJI WA HOJA ZA CAG.

Tarehe iliyowekwa: June 27th, 2024

Mkutano maalum wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili Majibu na Utekelezaji wa Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za mwaka 2022/2023 unaendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.


Akiwasilisha majibu na utekelezaji wa hoja zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi.Kuruthum Sadick amesema Halmashauri ya Mji Njombe imeendelea kudumu kwa kupata hati safi kwenye Hesabu kuu za Halmashauri,Hesabu za mradi wa mfuko wa Afya wa pamoja (Health Sector Busket Fund) na Hesabu za Mfuko wa Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu (WYDF) ,kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2018/2019 – 2022/2023.


Ameeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023  hoja 15 kati ya 30 zilizotolewa na Mdhibiti na  Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali zimejibiwa, kuhakikiwa na kufungwa na hoja zilizobaki zipo kwenye utekelezaji zikisubiri uhakiki wa Mkaguzi kwa awamu ya pili.


Kwa upande wa hoja zinazohusu  mfuko wa wanawake ,vijana na watu wenye ulemavu amesema hoja 5 zimefungwa na hoja 3 zipo kwenye utekelezaji zikisubiri uhakiki wa Mkaguzi wa awamu ya pili na  utekelezaji wa maagizo 2 ya kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) unaendelea.


Aidha amesema mikakati ya Halmashauri  kufunga hoja zilizobaki ni pamoja na kuchukua hatua za sheria na ufuatiliaji kwa wadaiwa wote ambao hawajalipwa madeni ili madeni hayo yalipwe, kuwajengea uwezo watumishi katika maeneo yao ya kazi kwa kuwapatia mafunzo mbalimbali yanayohusu utendaji kazi ili kupunguza uibukaji wa hoja na kuhakikisha hoja zote zinafungwa kufikia mwezi, Septemba 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe