• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Baraza la Waheshimiwa Madiwani Halmashauri ya Mji Njombe lapitisha rasimu ya bajeti 2021/2022

Tarehe iliyowekwa: February 26th, 2021

Kwa mwaka wa fedha 2021/2022,Halmashauri ya Mji Njombe inakisia kukusanya Jumla ya Shilingi 37,844,106.191;Kati yake  mapato ya ndani halisi ikiwa ni shilingi 4,763,050,980(Miradi ya Maendeleo Tsh 2,857,830,588, Mishahara  23,064,000 na Matumizi Mengineyo OC Shilingi 1,882,155,552;Ruzuku ya Mishahara (PE) Shilingi 22,533,546,000;Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo Shilingi 7,020,665,211(Fedha za ndani Tsh 2,955,394,172 na Shilingi 4,065,270,039 ni fedha za nje wahisani;Ruzuku ya matumizi Mengineyo (OC) ni Shilingi 1,573,225,000 na Michango ya Wananchi ikiwa shilingi 1,953,620.000.

Wakichangia katika bajeti hiyo baadhi ya Waheshimiwa Madiwani Akiwemo Diwani wa Kata ya Makowo Honolatus  Mgaya, Diwani wa Kata ya Matola Edwin Mwanzinga,Diwani wa Kata ya Luponde Ultrick Msemwa na Diwani wa Kata ya Mji Mwema Nestory Mahenge na Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini Deo Mwanyika   wameonesha kusikitishwa kwao na kutotumika ipasavyo kwa stendi ya mabasi Njombe na Soko Kuu Njombe licha ya Serikali kutumia fedha nyingi katika kufanikisha miradi hiyo jambo ambalo linaweza kuwa kikwazo kikubwa katika kufikia malengo ya makusanyo yaliyokadiriwa.

Mkutano huo umeridhia kwa pamoja kuhakikisha kuwa Wafanyabiashara wanaofanya Biashara zao katika maeneo yasiyo rasmi kuelekea katika maeneo ya masoko na kuwa na vituo vitatu vya kushusha na kupakia abiria ambavyo ni Nundu, Ramadhani na Kibena  kama ilivyokuwa awali ili Halmashauri iweze kukusanya mapato na huduma ya stendi na soko ziweze kufanywa katika maeneo yaliyokusudiwa na Halmashauri na si kama hali ilivyo sasa ambapo maeneo ya barabarani yamegeuka kuwa masoko.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe