• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

BARAZA LA WATOTO LA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE SASA RASMI

Tarehe iliyowekwa: June 29th, 2022

Halmashauri ya Mji Njombe leo imefanya uzinduzi wa Baraza la Watoto la Halmashauri linalojumuisha wawakilisha wawili wa Watoto katika kila Kata ya Halmashauri ambapo malengo makuu ya baraza hilo ikiwa ni kupigania haki za watoto na kuelimisha jamii kuhusu haki za watoto katika Halmashauri ambapo watoto hao wamejumuishwa na wanafunzi kutoka katika shule za Msingi na Sekondari.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa baraza hilo Afisa Maendleo wa Halmashauri Bi. Enembora alisema kuwa matamanio yake kwa kipindi kurefu iliku ni kufanikisha uanzishwaji wa baraza la Watoto la Halmashauri  ila changamoto kubwa iliyokuwa inawapeleka wao kushindwa kuanzishwa ilikua ni uhaba wa fedha kutokana na kukosa wadhamini na vipaumbele mbalimbali vya Halmashauri lakini kutokana na mipango ambayo Halmashauri imekua ikijiweka katika kila mwaka ambapo kwa mwaka wa fedha unaoishia  2021/2022 Halmashauri iliona ni vyema kutenga bajeti kupitia mapato yake ya ndani kwa ajili ya kuwezesha uanzishaji na uendelezaji wa mabaraza haya kuanzia ngazi ya Halmashauri mpaka kufikia ngazi ya vijiji.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Thadei Luoga amesema kuwa zipo haki za msingi za mtoto zinazowawezesha watoto kujumuika, kushiriki, kushirikishwa, kutoa maoni yao kusikilizwa na kufanyiwa kazi katika mikataba mbalimbali ya Kimataifa.“Yapo matukio ya unyanyasaji na ukiukwaji wa haki za watoto katika Halmashauri. Hivyo, nitoe wito kwa wazazi na walezi kuhakikisha kuwa wanazilinda na kuzihuisha tunu na haki za watoto. Aidha suala la adhabu kwa watoto lazima tufike mahali tuliangalie vizuri. Inafika wakati mtoto anapewa adhabu zilizokidhiri matakwa ya sheria jambo ambalo sio jema. Niwaombe waratibu elimu Kata tukalizingatie hilo.”Alisema Luoga

Aidha amewataka Watoto kuripoti matukio yanayokiuka haki za watoto na kuzitolea haki za watoto kwa mlezi aliye karibu nawe na unayemwamini au kupiga simu namba 116 kupata msaada zaidi ili watoto waendelee kuwa katika mazingira huru na yenye furaha na amani kwa kupata haki za msingi. Thadei amewataka Wazazi na Walezi kuimarisha upendo na umoja kwani familia ndio msingi Mkuu wa malezi ya Mtoto kwenye jamii.na amewataka Watoto kuheshimiana,kupendana na kuthaminiana.

Katika hatua nyingine ya uundwaji wa baraza hilo wawakilishi hao pia walishiriki katika uchaguzi wa viongozi wa Baraza kwa kumchagua Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti,Mtunza hazina na Wajumbe Watano ambapo Bernadetha Ramadhan Chibuma kutoka Shule ya Msingi Ramadhani alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza hilo la Watoto Halmashauri ya Mji Njombe na kuahidi kuhakikisha kuwa atasimamia kikamilifu utekelezaji wa haki za watoto ndani ya Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe