• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

CRDB Njombe Yakabidhi Vifaa kupambana na CORONA

Tarehe iliyowekwa: March 27th, 2020

Benki ya CRDB kupitia Kanda ya Nyanda za juu kusini imekabidhi ndoo 14 na vitakasa mikono 14 kwa Halmashauri ya Mji Njombe lengo ikiwa ni kuunga mkono jitihada za Serikali kupambana na maambukizi ya virusi vya CORONA.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Meneja wa CRDB Kanda Denis Mulekwa na Meneja wa CRDB Tawi la Njombe Amin Mwakangata wamesema kuwa Benki hiyo imeona ni vyema kuendelea kuwakinga Wananchi dhidi ya maambukizi ya virusi vya CORONA kwani ili kuweza kushiriki katika shughuli kiuchumi yampasa mtu kuwa na afya njema.

“Tumepata elimu kuwa moja kati ya njia inayoweza kutumiwa kujikinga na virusi vya CORONA ni kunawa mikono na kuitakasa. Tumetoa ndoo na vitakasa mikono vitakavyowezesha Wananchi kuweza kunawa katika maeneo yatakayoonekana kuwa na uhitaji mkubwa. Sisi kama Benki tunaamini ili tuweze kushiriki vyema katika shughuli za Kiuchumi tunahitaji watu wenye afya njema na ndio maana tumeamua hivi.”Alisema Amin Meneja CRDB Njombe.

Akizungumza mara baada ya kupokea vifaa hivyo Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Njombe Daktari Yesaya Mwasubila amesema kuwa wanaishukuru Benki ya CRDB kwa kuunga mkono jitihada za Halmashauri dhidi ya mapambano ya Ugonjwa wa CORONA na Vifaa hivyo watavipeleka katika maeneo ambayo yanaonekana kuwa na mwingiliano wa watu wengi yakiwemo maeneo ya Hospitali, Stendi na Sokoni.

Jitihada ambazo zimekuwa zikioneshwa na Halmashauri ya Mji Njombe katika mapambano dhidi ya CORONA ni sambamba na kuendelea kutoa elimu ya kujikinga kuhamasisha jamii kutumia maji tiririka na kwa wafanyabiashara kuweka vifaa vya kunawa mikono na kufanya utambuzi wa wageni wanaoingia katika Hoteli ili kujua taarifa zao kabla ya kuendelea na shughuli zozote katika Mji huo.

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe