• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

DC AFURAHISHWA NA MWENENDO WA UTEKELEZAJI WA MIRADI KATA YA MATOLA

Tarehe iliyowekwa: June 10th, 2022

Ikiwa ni katika muendelezo wa ziara ya kikazi ya Mkuu wa Wilaya ya Njombe yenye lengo la kutembelea Wananchi ,Kujifunza mazingira changamoto,kuzipatia ufumbuzi na kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo hayo ,Utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata ya Matola wamfurahisha Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe  kutokana na ubora wa miradi na thamani halisi ya fedha.

Akizungumza mara ya kutembelea na kukagua nyaraka za mradi wa ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya msingi Kitulila ambapo imegharimu kiasi cha shilingi milioni 26 ikiwa katika hatua za mwisho za ukamilishaji  na ujenzi wa nyumba ya mganga ambapo imegharimu kiasi cha shilingi milioni 17 kufikia hatua ya lenta,Mkuu wa Wilaya amesema kuwa miradi hiyo imejengwa kwa ubora na thamani ya fedha iliyotumika inaonekana.

“Kuna maeneo mengine unapita unashindwa kuelewa fedha zimefanya kazi gani. Niwapongeze sana Kata ya Matola kwa kazi kubwa mliyofanya.nyaraka zote zipo.Nitoe wito kwa watendaji kufuata mfano wa mwalimu huyu.Mchanganuo wa fedha upon a unaelezeka kwa kweli ni wapongeze maana mmenipa matumaini.Alisema Mkuu wa Wilaya.”

Edwin Mwanzinga ni Diwani wa Kata ya Matola ambaye amesema kuwa siri kubwa ya mafanikio katika Kata hiyo yaliyopelekea kufanikisha ufanisi wa miradi hiyo ni kuwa kumekuwa na ushirikiano mkubwa baina ya Wataalamu na Viongozi katika Kata hiyo ambapo ushirikaino huo umepelekea kuibua miradi kuanzia ngazi ya chini na taarifa zote za matumizi ya fedha zinajulishwa kwa kila ngazi ili kuwa na uelewa wa pamoja. Wote tunazungumza lugha moja”Alisema Mwanzinga

Aidha katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Njombe ameagiza Wahandisi kuendelea kusimamia ujenzi wa  miradi na kuwa na makisio sahihi kwa ufanisi ili fedha zilizokusudiwa kupelekwa kwenye miradi ziweze kumaliza miradi hiyo na kuepuka miradi kuongezewa fedha mara kwa mara au wananchi kuchangishwa michango mara kwa mara jambo linalokatisha tamaa Wananchi na pia kupelekea miradi kutokamilika kwa wakati.











Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe