• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

DC KISSA ATAMBULISHA FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA WILAYA YA NJOMBE

Tarehe iliyowekwa: April 5th, 2024

Na Ichikael Malisa

Vijana 600 kutoa wilaya ya Njombe Aprili 05,2024 wametambulishwa fursa mbalimbali kwenye sekta ya kilimo, biashara, ujasiriamali na ufugaji zitakazowawezesha kujikwamua kiuchumi badala yakutegemea ajira. 

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano la fursa kwa vijana lililoambatana na utambulisho wa programu ya kuwawezesha vijana,Mkuu wa Wilaya ya Njombe,Mhe. Kissa Gwakisa amesema kongamano hilo ni maalumu kwa vijana kuzitambua fursa zilizopo kwenye kilimo haswa kilimo cha mazao ya muda mfupi na namna wanavyoweza kujikwamua kiuchumi kupitia kilimo cha mazao hayo. 

Ametoa wito kwa vijana kuzipokea fursa hizo  na kwa wote watakaowezeshwa kwenye fursa mbalimbali kuwa na nidhamu itakayowezesha kutimiza lengo la programu hiyo la kuhakikisha vijana wanafanya kazi na kujikwamua  kiuchumi. 

Mhe.Kissa ameeleza kuwa programu yakuwawezesha vijana ni endelevu na inaanza kwa kutoa tani 28 za mbegu za ngano kwa vijana sambamba nakuwawezesha vijana wengine 600 kwenye shughuli mbalimbali.

Aidha amewataka vijana kuwa makini na utapeli mitandaoni unaotangaza fursa za kitapeli kwa kutumia majina ya viongozi, badala yake watumie ofisi na wataalamu waliopo kwenye maeneo yao kwa taarifa mbalimbali zinazohusu fursa.



Akizungumza kwa njia simu,Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu  Kazi, vijana,ajira na wenye ulemavu Mhe. Deogratius Ndejembi ametoa pongezi kwa ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Njombe kwa kuona umuhimu wa kutambulisha na kuwawezesha vijana kwenya fursa mbalimbali. 

Aidha amesema Serikali imetengeneza fursa za kutosha kwa vijana kwenye sekta mbalimbali akiwataka vijana kuchukua hatua kuzichangamkia ili kujikwamua kiuchumi.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe