• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Elimu ya utunzaji wa maua na matunda ya parachichi yatolewa kwa wakulima Njombe TC.

Tarehe iliyowekwa: June 9th, 2023

Wakulima wa zao la Parachichi Halmashauri ya Mji Njombe wamepatiwa mafunzo ya namna ya utunzaji Wa maua na matunda ya parachichi.

Elimu Hiyo imetolewa kwa wakulima Juni 09,2023 na Idara ya kilimo, mifugo na uvuvi kwakushirikiana na Chama Cha Kijamii cha  Wadau Wa Parachichi Tanzania (ASTA)ili kuwawezesha wakulima  Wa zao la parachichi kupata tija kwa  kuhudumia mashamba Yao kitaalamu.

Mkurugenzi  Wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuruthumu Sadick akizungumza  wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Amewapongeza wakulima hao,wengi wao wakiwa ni vijana huku  akiwatia moyo kuendelea na kilimo cha zao  la parachichi

Amesema Kuna fursa nyingi Sana kwenye kilimo  hususani cha parachichi kwa mkoa wa Njombe akiwasihi vijana kutokata tamaa na kufikiria  kuwa na mashamba yao binafsi ili wanufaike moja kwa moja na kilimo hicho.

"Ninafurahishwa Sana kuona vijana wengi, niwatie moyo msikate tamaa fanyeni jitahada hata kama mnatumika kwenye mashamba ya wengine muweze Kuwa na mashamba yenu"

Aidha amewasihi  washiriki wote kuzingatia mafunzo hayo katika kuhudumia mashamba yao ili waweze kupata mazao bora ambayo yataleta ushindani sokoni na kwamba hivi Sasa mpango serikali nikuwataka wawekezaji kununua  moja kwa moja kutoka kwa mkulima ili anufaike moja kwa moja.

Kwa upande wake Mtaalamu na mwenyekiti wa Chama cha Wakulima wa Parachichi Tanzania  Rebecca Hepelwa amesema wameamua kutoa elimu kwa wakulima juu ya utunzaji Wa maua na matunda kwani  hatua ya maua ndiyo hatua muhimu kwenye zao la parachichi itakayomsaidia mkulima kupata tija kwenye kilimo cha parachichi.

Wakulima Hao pia wameelimishwa dawa sahihi za kutumiwa na wakati wakuzitumia huku akitoa angalizo kwa wakulima kuotumia dawa zakuulia wadudu kiholela wakati wa maua kwani wadudu wengi kipindi hicho wanakuwa wanafanya shughuli ya uchavushaji.

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya mji Njombe yaliwajumuisha wamiliki, wakulima na wasimamizi  wa mashamba ya parachichi na yalihitimishwa kwa washiriki hao Kujifunza kwa vitendo kwenye shamba la mfano lilipo kwenye viwanja vya Halmashauri ya Mji Njombe

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe