• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Mipango
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Ujenzi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

ERASTO MPETE ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE.

Tarehe iliyowekwa: July 4th, 2022

Halmashauri ya Mji Njombe imefanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri ambapo Baraza la Waheshimiwa Madiwani limempigia kura 15 za NDIO kati ya kura 15 Mheshimiwa Erasto B. Mpete Diwani wa Kata ya Utalingolo na kumpitisha kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Awali akielezea mambo ambayo atakwenda kuyasimamia Mheshimiwa Mpete amesema kuwa Miongoni mwa mambo muhimu ni katika kufanikisha usimamiaji wa bajeti iliyoanza kutekelezwa kwa Mwaka 2022-2023 na kuhakikisha kuwa Halmashauri inakwenda kufanya vyema katika zoezi la usimamizi wa mapato ili iweze kuendelea kuongoza na kuwa Halmashauri bora na mfano Nchini.

Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Bi. Judica Omary amepongeza Mheshimiwa Mpete kwa hatua hiyo na amesema kuwa kwa kipindi chote ambacho Mheshimiwa Mpete alikaimu nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri Ushirikiano ulikuwepo na aliweza kutekeleza majukumu yake ipasavyo jambo ambalo liliweza pia kurahisisha utendaji Kazi hata katika ngazi ya Mkoa.

Katibu wa CCM Wilaya ya Njombe Sure Mwasanguti amewataka Madiwani hao kuimarisha Umoja na Mshikamano na kuvunja makundi yote yaliyokuwepo kabla ya uchaguzi  na kuwa kitu kimoja ili kuweza kufikia Maendeleo lakini pia kuhakikisha kuwa Wananchi wote wanahudumiwa sawa na Maendeleo yanawafikia Wananchi wote bila ya kuwa na mgawanyiko.

Ikumbukwe kuwa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri umefanyika kutokana na kifo Cha aliyekuwa Mwenyekiti na Diwani wa Kata ya Njombe Mjini Romanus Mayemba na hivyo  kuziba pengo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA LUNYANYWI NA YAKOBI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE August 05, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI KWENYE ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI HALMASHAURI YA MJI NJOMBE March 25, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 06, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAWASILIANO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA

    July 04, 2022
  • ERASTO MPETE ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE.

    July 04, 2022
  • BARAZA LA WATOTO LA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE SASA RASMI

    June 29, 2022
  • DC AFURAHISHWA NA MWENENDO WA UTEKELEZAJI WA MIRADI KATA YA MATOLA

    June 10, 2022
  • Angalia zote

Video

Makala ya utekelezaji miradi ya maendeleo 2020 Halmashauri ya Mji Njombe
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe