• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

HAI WAFIKA KUJIFUNZA NJOMBE MJI.

Tarehe iliyowekwa: October 3rd, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Hai yatembelea  Halmashauri ya Mji Njombe kwa lengo la kujifunza  kilimo cha parachichi na fursa mbalimbali za kiuchumi.

Akizungumza Oktoba 02 ,2024  ulipo wasili ugeni huo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi. Kuruthum Sadick ameishukuru na kuipongeza Halmashauri hiyo kwa kuona fursa mbalimbali  za kilimo cha parachichi katiika halmashauri ya mji njombe ambapo wanachi wengi wamekuwa wakinufaika kupitia zao hilo

“Nimefurahi sana kuona mmekuja kututembelea halmashauri yetu ,naamini hamtatoka kama mlivo kuja  na sisi pia tutajifunza vitu kutoka kwenu ambavyo vitasaidia halmashauri yetu kusonga mbele na kukua zaidi kiuchumi” Alisema Kuruthum Sadick Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe.


Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Hai Mhe.. Edmund Rutaraka amesema  kwa fursa za kilimo hasa cha parachichi ambazo wameweza kuziona zitaenda kuimarisha uchumi wa wananchi wa hai  kutokana  fursa ambazo wameziona zitakwenda Kunyanyua uchumi wa wawana wilaya hiyo hasa katika kilimo hicho ambacho kimekonga  Nyoyo zao kwa namna wananch wa njombe wanavyo nufaika kwa maelfu ya fedha kupitia kilimo hicho

Halmashauri ya wilaya Hai imetembelea Shamba la Mkulima wa Prachichi Nemes Green Garden , Soko Kuu Njombe namna linavyo fanyakazi  vizuri na  Kiwanda cha kuchakata Parachichi kilichopo Hagafilo kata ya Njombe Mji.

Ziara ya Halmashari ya wilaya ya Hai na Njombe mji italeta mapinduzi makubwa katika uchumi wa wananchi wa halmashauri hizo kwani wataenda kuibua miradi mipya  ambayo itakuwa na tija na yenye ufanisi mkubwa pamoja kuongeza diplomasia chanya ya halmashauri hizo..


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe