• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

HAKIKISHENI SUALA LA LISHE NI AGENDA KWENYE MIKUTANO YENU.

Tarehe iliyowekwa: January 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mheshimiwa Anthony Mtaka amesisitiza elimu ya lishe kuwa ni agenda muhimu kwenye mikutano mbalimbali ya vyama vya siasa,kwenye nyumba za ibada na maeneo mengine yanawakusanya wananchi.


Amesema hayo Mhe Mtaka Januari 27,2024 kwenye kilele cha kampeni yakuongeza kasi ya kupunguza udumavu Mkoani Njombe kilichofanyika kwenye viwanja vya Stendi ya zamani Njombe Mjini.


“Niwaombe viongozi wangu wa dini na wa kisiasa kwenye salamu zetu tuongeze na hii ya Lishe ya Mwanao Mafanikio Yake ,Kujaza tumbo Sio Lishe,Jali unachomlisha”Alisema Mhe.Mtaka.


Aidha amesisitiza kila familia kutathimini mlo wanaoupata nyumbani kila siku kama ni mlo kamili.


Mhe .Mtaka alieleza kuwa kampeni  ya kuhamasisdha lishe bora imefanyika kwenye Halmashauri sita za Mkoa wa Njombe na kwa kipindi cha mwezi mmoja wamewafikia watu zaidi ya 1,500  sambamba na kufanya kliniki za wamama wajawazito na kinamama wanaoonyonyesha.


Wakati wa kampeni Wilayani mijadala ilifanyhika ikihusisha na makundi viongozi wa dini, makundi ya viongozi wa vyama vya kisiasa wakiongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) lakini pia makundi ya kinamama na baba lishe na kundi la vijana . 


Pia mikutano na makundi ya wajasiriamali, bodaboda ambao wengi wao ni wazazi watarajiwa pamoja na wanafunzi katika shule za msingi na sekondari ilifanyika kwa lengo la kuitambulisha kampeni na namna ambavyo kila kundi litashiriki kwa nafasi yake.


Kampeni ya Lishe ya Mwanao Mafanikio yake iliyozinduliwa Disemba 22,2023 ,ni kampeni endelevu ambayo inafadhiliwa na wadau mbalimbali wa maendeleo wakiwemo UNICEF na USAID kupitia mradi wa lishe mtambuka.


Kauli mbiu ya Kampeni hiyo inasema “Kujaza Tumbo sio Lishe,Jali unachomlisha.”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe