• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

HALMASHAURI KUJIPANGA UJENZI NYUMBA ZA WATUMISHI VIJIJINI

Tarehe iliyowekwa: October 28th, 2022

Baraza la Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Mji Njombe wamekutana katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2022/2023 na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika robo ya kwanza.

Akifungua Mkutano huo,Mwenyekiti wa Mkutano huo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Filoteus Mligo amewataka Madiwani kuhakikisha kuwa wanashiriki vyema katika ukusanyaji wa mapato na kuhakikisha kuwa mapato yanakusanywa kwa uhakikika kwani ndio muhimili mkuu wa uendeshaji wa Halmashauri.

Akiwasilisha salamu za Serikali kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Afisa Tawala Wilaya ya Njombe Melkioni Kisinini amewataka Wananchi katika Wilaya ya Njombe kuendelea kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa Ebola ambao ni ugonjwa wa kutisha na umepoteza maisha ya Wananchi wengi katika Nchi za Jirani.

 Kisinini aliendelea kusema kuwa Wilaya ya Njombe inampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendlea kuikumbuka Wilaya ya Njombe na kuiletea fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na kutoa rai kwa Madiwani kuendelea kuisimamia kwa ukaribu miradi hiyo.

Wakichangia hoja katika Mkutano huo Madiwani wengi wameipongeza Serikali kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa unaoendelea katika Kata zao na pia wamesema kuwa ili kuunga mkono jitihada za Serikali ni vyema kuweka mkakati wa ujenzi wa nyumba za Waalimu ili kutatua changamoto za nyumba hizo hususani katika maeneo ya pembezoni.

Hoja nyingine iliyojadiliwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa Wafanyabiashara mabao wanafanya biashara katika maeneo ambayo sio rasmi ambao tayari walishapatiwa maeneo ya kufanyia biashara kuhakikisha kuwa wanarudi katika maeneo hayo na kuacha kufanyia biashara kandokando ya barabara






Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe