• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Halmashauri ya Mji Njombe Yamwaga Samani kwa Shule za Sekondari

Tarehe iliyowekwa: June 11th, 2020

Halmashauri ya Mji Njombe imekabidhi meza na viti 280 vyenye thamani ya Shilingi milioni ishirini na tatu laki mbili na elfu arobaini kwa ajili ya Shule 4 za Sekondari zilizopo katika Halmashauri hiyo.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wakati wa makabidhiano hayo Afisa Elimu Sekondari Rehema Nswila amesema kuwa Halmashauri kupitia mapato ya ndani ilitenga kiasi cha Shilingi milioni 30 kwa ajili ya ununuzi wa meza, viti, vitanda kwa ajili ya kutatua changamoto katika Shule za Sekondari zilizokuwa na uhitaji.

“Wote tunatambua jitihada kubwa alizozifanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika sekta ya elimu.Elimu bila malipo imepelekea kuwepo na ongezeko kubwa la Wanafunzi katika Shule zetu. Na sisi kama Halmashauri tupo kwenye mapambano ya kuhakikisha kuwa kila Mwanafunzi anapata Elimu bora ikiwa ni sambamba na kupata mazingira bora ya kufundishia na kujifunzia.Kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri tunakabidhi meza na viti 280. Tuhakikishe kuwa Wanafunzi hawafanyi uharibifu na zinatumika vyema.” Alisema

Editha John Mkuu wa Shule ya Sekondari Yakobi, Alex Chengula Shule ya Sekondari Uwemba, James Tamaa Mbele na Alex Tchwodzie kutoka Shule ya Sekondari Luhololo wameishukuru Halmashauri kwa kuwapatia samani hizo ambazo zitasaidia kutatua changamoto iliyokuwepo kwa kiasi kikubwa.

“Shule ya Sekondari Luhololo kwa sasa tunakamilisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na sasa tumepata madawati na meza themanini, yatakayoenda kuwekwa kwenye madarasa hayo. Badala ya Wananchi kuchangia meza na madawati tutaendelea na miradi mingine kwani Halmashauri imeshatusogeza. Alisema Mwalimu Alex

Halmashauri ya Mji Njombe kupitia mapato ya ndani imekabidhi madawati na meza 80 kwa Shule ya Sekondari Uwemba, Yakobi  na Luhololo na madawati na meza 40 kwa ajili ya Shule ya Sekondari Mgola na hivyo kufanya idadi yake kuwa 280.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe