• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPOKEA MATREKTA 5 KUTOKA WIZARA YA KILIMO.

Tarehe iliyowekwa: November 8th, 2024

Na.Ichikael Malisa.

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Mhe Kissa Gwakisa Kasongwa Tarehe 08 Novemba 2024 amepokea Matrekta 5 yaliyotolewa na Wizara ya Kilimo kwa ajili ya Kituo cha zana za Kilimo kilichopo Halmashauri ya Mji Njombe Kata ya Lugenge kijiji cha Kisilo.

Akizungungumza baada yakupokea matrekta hayo Mhe.Kissa,ameeleza kuwa matrekta hayo yamefika kwa wakati muafaka kwa kuwa yatasaidia kuendeleza shughuli za kilimo na kuinua sekta ya kilimo kwa kuwasaidia wakulima vijana, na wanawake walioko kwenye mradi wa BBT (Building a Better Tomorrow) unatekelezwa katika Wilaya ya Njombe pamoja na wakulima wadogo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi.Kuruthum Sadick ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa  kutoa zana hizo muhimu zitakazowasaidia wakulima kuondoana na changamoto za kilimo kwa kutumia jembe la mkono.

Halmashauri ya Mji Njombe imetenga maeneo kwa ajili ya Mradi wa BBT kwa Vijana na wanawake katika kata ya Makowo, Luponde, Utalingolo,na Lugenge.


Matrekta haya yatakuwa msaada mkubwa kwa wakulima kwa kuwa yatachangia kufanya kufanya kilimo cha kisasa kitakachoongheza uzalishaji wa mazao, hasa kwa vijana na wanawake ambao wanajihusisha na kilimo kama njia ya kujipatia kipato.

Pia zana hizi za kisasa ziasaidia  kuwaondolea wakulima changamoto ya kutumia zana duni na njia za kilimo zisizo na tija, kwa kuwatengenezea mazingira bora na ya kisasa. Halmashauri ya Mji Njombe inatarajia kwamba msaada huu utasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara, hivyo kuleta mabadiliko chanya katika mji huo na kuboresha hali ya maisha ya wakulima.

Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe