• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

HUDUMA ZA WATOTO NJITI HOSPITALI YA MJI NJOMBE ZIMEBORESHWA

Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2024


Na,Ichikael Malisa.


Katika juhudi za kuboresha mazingira ya huduma kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (Njiti) Serikali kupitia Mpango wa kunusuru kaya masikini TASAF ilitekeleza mradi wa  zaidi ya Shilingi Milioni 173, zilizotumika kujenga jengo la mama na mtoto lenye chumba maalum cha kuhudumia watoto njiti katika hospitali ya Mji Njombe(kibena). 


Uwepo wa wodi hiyo maalumu umetajwa kuwa sehemu ya mafanikio ya  utoaji wa huduma bora kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati katika hospitali ya Mji Njombe (Kibena).


Akitoa taarifa ya huduma za watoto njiti kwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya watoto Njiti duniani Tarehe 17 Novemba 2024 ,Dr.Rehema Omari ameeleza kuwa hali ya chumba cha awali cha watoto njiti katika Hospitali ya kibena ilikuwa haikidhi mahitaji. 


"Awali tangu kuanza kwa kitengo hiki mwaka 2006 kulikuwa na chumba kimoja tu, lakini sasa tumepata jengo jipya la kisasa lina vyumba vinne tofauti, ikiwa ni pamoja na wodi ya kawaida, chumba cha kuhudumia watoto wenye magonjwa ya kuambukiza (isolation), chumba cha Kangaroo Mother Care, na chumba cha uangalizi maalum (HDU)."Alisema. 


Kitengo hiki kimeleta mageuzi makubwa katika utoaji wa huduma kwa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati kwa kutoa elimu kwa jamii ,wazazi na walezi ya namna ya kuwasaidia watoto njiti kuishi. 


Jengo jipya la mama na mtoto lenye chumba maalumu cha watoto njiti lilianza kutoa huduma Januari 2024 na kufikia mwezi Oktoba 2024, jumla ya watoto njiti 112 wamepatiwa huduma  na wote wanaishi hatua inayodhihirisha maendeleo makubwa katika kitengo hicho. 


Wananchi wa Halmashauri ya Mji Njombe wanaishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuthamini uhai wa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati kwa kuhakikisha mazingira yakutolea huduma yanakuwa bora na ya kisasa. 


Hospitali ya Mji Njombe Kibena, ikitajwa kuwa mfano bora wa utoaji wa huduma za afya kwa watoto njiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MAPOROMOKO YA MAJI

    June 16, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MHE. MTAKA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO, AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE NA MAFUNDI.

    June 13, 2025
  • ELIMU KUHUSU UMILIKI WA ARDHI YATOLEWA KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA MFEREKE

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

HUHITAJI TAKUKURU THAMANI YA FEDHA INAONEKANA -MHE. MTAKA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe