• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NOMBETC NA WANANCHI WA BOIMANDA WAFANYA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI MTENDAJI WA KIJIJI.

Tarehe iliyowekwa: October 8th, 2025

Idara ya Maendeleo ya Jamii ya Halmashauri ya Mji Njombe kwa kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Boimanda imefanya  shughuli za uchimbaji wa mawe na kusoma kwa ajili ya ujenzi wa  ofisi ya mtendaji kijiji cha Boimanda  kwa lengo la kuhamasisha moyo wa kujitolea na kushiriki katika maendeleo ya kijiji chao. 


Akizungumza oktoba 06, 2025 mara baada ya zoezi Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Bi. Enembora Lema, amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo ni kuimarisha mshikamano na kuwajengea wananchi moyo wa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo. 


“Tumekuja hapa leo sio tu kwa ajili ya kufanya kazi za kijamii, bali pia kuwatia moyo wananchi wetu kwamba maendeleo ya kweli huanzia na sisi wenyewe,Tunahitaji kushirikiana, kujitolea, na kuamini katika mabadiliko tunayoyatamani,” alisema Bi. Lema Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii


Katika zoezi hilo, maafisa kutoka idara hiyo walitoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala migogoro ya ardhi,ndoa na mirathipamoja na malezi bora ya watoto katika familia 


Nao wanachi walioshiriki zoezi hilo akiwemo  Beno Mgaya , James Mwajombe Wananchi na Sebastiani Mgaya walioshiriki walionesha furaha na kuthamini juhudi hizo, wakisema kuwa elimu waliyopewa ni muhimu sana katika kuimarisha ustawi wa familia na kijiji kwa ujumla huku wakisema jitihada hizo zimewapa motisha ya kuendelea kushiriki katika shughuli za kijamii na kuhamasisha wengine kufanya hivyo .


Zoezi hilo limekuwa likileta matokeo chanya kwa maeneo ambayo idara ya maendeleo ya jamii wamekuwa wakipitia vijiji vingine vya halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29,2025

    October 15, 2025
  • MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YASISITIZWA KWA WAKULIMA WA MTAA WA MPOBOTA - MJIMWEMA .

    October 11, 2025
  • MWEKEZAJI MADEBE AKABIDHIWA HATI MILIKI 16

    October 11, 2025
  • WANANCHI MPOBOTA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

IFAHAMU HUDUMA YA KIPEKEE INAYOPATIKANA NDANI YA SOKO KUU NJOMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe