• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Ikungi yatembelea Halmashauri ya Mji Njombe,Lengo ni kujifunza kuhusu usafi wa Mazingira

Tarehe iliyowekwa: June 12th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi leo imetembelea Halmashauri ya Mji Njombe lengo ikiwa ni kujifunza na kupata uelewa wa pamoja juu ya jitihada wanazofanya katika kufanikisha maswala ya usafi wa mazingira.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Miraji Mtaturu amesema kuwa wameona ni vyema kutembelea Halmashauri zinazofanya vizuri katika swala la usafi wa mazingira kwani kupitia elimu watakayoipata itawasaidia wao kuboresha mapungufu waliyonayo na kuwawezesha kufanya vizuri zaidi.

Miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na matumizi ya sheria ndogo za Halmashauri na matumizi yake, njia bora za ukusanyaji na uhifadhi taka, maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kutupa taka, viwango vya ukusanyaji ushuru wa taka na njia zitumikazo kuhamasisha wananchi kuchangia tozo za taka.

Kaimu Afisa Usafi na Mazingira Halmashauri ya Mji Njombe Ndg. Steven Ndonde amesema kuwa Halmashauri iliona ni vyema kufuta maeneo ambayo yaliyokuwa yametengwa kwa ajili ya shughuli za utupaji taka (VIZIMBA) kwani kwa kiasi kikubwa vilikua vinachangia kuchafua mazingira kwa kufanya taka kusambaa hovyo mitaani na badala yake Halmashauri ikaanzisha utaratibu wa kupitisha magari katika mitaa na kukusanya taka jambo ambalo limekua na manufaa makubwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Edwin Mwanzinga amesema kuwa iwapo wanasiasa watakubaliana juu ya utaratibu mzuri wa shughuli za uzoaji taka na usafi wa mazingira zoezi hilo hufanyika kwa ufanisi mkubwa bila malumbano

“Inabidi mtambue kuwa tatizo kubwa tupo nalo sisi wanasiasa tunapokubaliana jambo inakuwa rahisi kwa watendaji tunaweza kukubaliana juu ya gharama za uzoaji taka lakini tunapopeleka kwa wananchi kila mtu anaenda kusema lake tunaleta mkanganyiko miongoni mwa wananchi. Nafurahi katika Halmashauri yangu nimefanikisha hilo na tupo kitu kimoja.”

Nae Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Abel Suri ameishukuru Halmashauri kwa ukarimu wao na kuwa tayari kuwapatia elimu hiyo kwani imekuaa na manufaa kwao na wamejipanga kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika wakati ujao.

Waliotembelea Halmashauri ya Mji Njombe ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Mkurugenzi kamati ya fedha pamoja na wakuu wa idara mbalimbali kutoka Halmashauri ya wilaya ya Ikungi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe