• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Jafo apongeza ujenzi kituo cha afya Ihalula,akerwa na wakandarasi wababaishaji

Tarehe iliyowekwa: June 10th, 2018

Ni ziara ya Waziri Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo katika Halmashauri ya Mji Njombe ambapo alipata nafasi ya kukagua ujenzi wa kituo cha afya Ihalula na kupongeza shughuli za ujenzi na thamani ya fedha iliyotumika katika ujenzi huo.

“Kwenye ukweli lazima tuseme nimefarijika sana na ujenzi wa kituo hiki mmefanya kazi nzuri nampongeza fundi kwa kazi hii amejenga vizuri sana, licha ya kuwa bado ujenzi huu ungeweza kuwa mzuri zaidi kama usimamizi ungekuwa mzuri kuna makosa madogo madogo yanaonekana kama mhandisi ungekuwa unafanya ukaguzi wa mara kwa mara makosa haya yasingekuwepo usimamizi ni jambo la muhimu katika kazi yoyote ile.”Alisema jafo

Kituo hichi ni miongoni mwa vituo vitakavyotoa huduma za dharura za upasuaji kwa wazazi na utoaji damu salama huku jumla ya Tshs. 500 milioni zikitarajiwa kutumika hadi kukamilika kwake.

Wakati huo huo Waziri jafo alitembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha mabasi Mji njombe na kusikitishwa na kusuasua kwa shughuli za ujenzi katika kituo hicho ukilinganisha na Halmashauri ambazo miradi yake ilishakamilika.

Waziri Jafo amemjia juu mkandarasi aliyefanya ujenzi wa awamu ya kwanza na ya pili ambazo zimekamilika kwa kuchelewa sana ambayo ni kampuni ya MASASI CONSTRUCTION na msimamizi wa kituo hicho kwa kuchelewesha ujenzi wa kituo hicho hali iliyopelekea Halmashauri kutafuta Mkandarasi mwingine ambayo ni Kampuni ya HAINAN INTERNATIONAL ambayo imeanza awamu ya tatu ya ujenzi wa kituo hicho na na unataraji kukamilika February 2019 huku kiasi cha shilingi bilioni 5.7 zikitarajiwa kutumika mpaka kumalizika kwake.

“Nisingewaelewa kama Mkandarasi aliyewachelewesha katika ujenzi wa kituo hiki ndio mngekuwa mmempa kazi ya ujenzi wa awamu ya Tatu, Tusingeelewana kabisa. Hatutaki ubabaishaji katika kazi za serikali,wakandarasi wababaishaji hawana nafasi katika awamu serikali hii fedha zipo miradi haiendi msimamizi wa mradi unakuwa huna msaada wowote watu wa aina hii hatuwaitaji wananchi wanahitaji maendeleo. Alisema.

Aidha amemtaka mkandarasi HAINAN INTERNATIONAL kuhakikisha kuwa miezi iliyosalia kazi za uhakika zifanyike na kufikia mwezi agosti yeye mwenyewe atakuja kwa shughuli za uwekaji jiwe la msingi na February Rais afanye uzinduzi wa kituo hicho hivyo wafanye kazi usiku na mchana kwani hakuna muda wa kupoteza tena.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe