• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

JAMBO HILI NI LETU SOTE ,MKUU WA MKOA AMEANZA TUSHIRIKIANE TUMALIZE

Tarehe iliyowekwa: January 18th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mheshimiwa Erasto Mpete Januari 17,2024,  ametoa rai kwa watendaji wote ndani ya Halmashauri ya Mji Njombe kumuunga mkono Mkuu wa Mkoa wa  Njombe Mhe.Anthony Mtaka kutoa elimu ya lishe bora shuleni na kwenye mikusanyiko ya watu ili kufanikisha  kampeni ya kupambana kutokomeza udumavu Mkoani Njombe .


Akizungumza wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa katika Shule ya Msingi Nazareth,Mhe.Mpete  amewamboa wazazi ,waalimu pamoja na watendaji katika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe  wakiwemo watendaji kata na viongozi wengine kuhakikisha wazungumza suala la lishe shuleni,kwenye mikutano na maeneo mengine ya mikusanyiko ili kupambana kutokomeza udumavu ndani ya Halmashauri ya Mji Njombe.


“Kwa kuwa Mhe.Mkuu wa Mkoa amefika leo katika shule ya msingi Nazareth basi sisi tujielekeze katika shule nyingine zote zilizopo  Halmashauri ya Mji Njombe na tuzungumze mambo haya katika mikusanyiko yote ile iwe ni mikutano iwe ni msiba ili tuweze kuungana na Mkuu wa Mkoa katika suala zima lakutokomeza udumavu “Alisema Mhe.Erasto Mpeta Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe.



Wakizungumza kwa nyakati tofauti Afisa lishe Mkoa wa Njombe Bi Bertha Nyigu na Afisa lishe wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi Fransisca Mosha, wamesisitiza kuwa ustawi mzuri wa mtoto unaanzia kwenye lishe anayopatiwa hivyo ni muhimu kwa akina mama kuzingatia kunyonyesha watoto kama inavyoshauriwa kitaalamu na kuwapa mlo ulio kamili kila siku.


Aidha wamewataka wanafunzi  hao kuwa mabalozi wa lishe bora kwenye familia zao kwa kuwaeleza nakuwakumbusha  wazazi wao mara kwa mara umuhimu wakuwapatia mlo kamili kila siku. 


Mkoa wa Njombe unatajwa kuwa na udumavu kwa kiasi kikubwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.Ni kwa sababu hiyo Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wadau mbalimbali inaendesha  kampeni maalumu ya kutoa elimu ya lishe ili kutokomeza udumavu.


Elimu ya lishe bora inatolewa kwa jamii kupitia vyombo vya habari, kwenye nyumba za ibada , mikutano,shuleni  ,vyuoni na maeneo mengine ya mikushanyiko katika Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe