• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Jamii yaendelea kuhamasishwa juu ya ulaji bora kupiga vita udumavu

Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2021

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika Halmashauri, mratibu  wa lishe Halmashauri ya Mji Njombe Marselina Mtitu  amesema kuwa kwa kipindi cha robo ya tatu Januari – Machi 2021, kitengo cha Lishe kimekuwa kikishughulika na kuboresha hali ya Lishe kwa watoto chini ya Umri wa miaka 5, wanawake wajawazito, wanawake wanaonyonyesha na vijana rika balehe ngazi ya jamii ambapo  Kata zilizopatiwa elimu ya utoaji lishe bora kwa kuzingatia makundi matano ya chakula ni Lugenge, Luponde na Uwemba.

Awali akiwasilisha maagizo ya utekelezaji wa kikao kilichopita mratibu huyo amesema kuwa kitengo cha lishe kwa kushirikiana na idara za elimu wamefanikiwa kutembelea katika shule za msingi na kuelimisha juu ya upandaji mbogamboga katika maeneo ya Shule ambapo wamesema kuwa katika Shule zilizotembelewa mwitikio umekuwa ni mkubwa licha ya kuwepo kwa changamoto za maji katika baadhi ya maeneo.

Bi.Mtitu amesema kuwa kwa sasa jamii imeendelea kuelimishwa elimu ya lishe bora kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula na kuandaa vipeperushi vya aina ya vyakula katika makundi hayo ili jamii iondokane na ulaji wa lishe isiyozingatia makundi hayo.

Wakitoa maoni yao kwenye kikao hicho baadhi ya wajumbe wamesema kuwa ni vyema  elimu juu ya ulishaji wa watoto wachanga na wadogo itolewa katika kila hudhurio la kliniki ili wazazi na walezi waweze kupata uelewa juu ya ulishaji bora.

Kuhusu hali ya utoaji wa matibabu kwa watoto wenye utapiamlo Mtitu amesema kuwa kwa kipindi cha robo ya tatu Januari –Machi 2020/2021 watoto waliotambuliwa ni 46 ambapo kati ya hao watoto 45 walipatiwa matibabu na kuruhusiwa na motto mmoja alipoteza maisha.

Halmashauri ya Mji Njombe imeendelea kufanya jitihada za kupambana na udumavu ambapo sambamba na kufanya vikao vya kujadili utekelezaji wa shughuli za lishe pia Halmashauri imeendelea kutenga bajeti kwa kutumia mapato ya ndani kusaidia shughuli za lishe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe