• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

JAMII YAHIMIZWA KUTOWAFICHA WENYE ULEMAVU

Tarehe iliyowekwa: October 11th, 2022

Wito huo umetolewa na Afisa Ustawi Halmashauri ya Mji Njombe Petro Mahanza ambapo ameitaka jamii kuacha tabia ya kuwaficha Walemavu kwani Serikali imeweka miongozi ya kuwasaidia Walemavu kuanzia ngazi za Vijiji, Mitaa, Kata na Halmashauri.

Mahanza alisema kuwa ipo tabia ya baadhi ya Wanafamilia wanapokuwa na ndugu ambaye anaulemavu wamekuwa wakiwaficha na wakati mwingine kushindwa kutoa ushirikiano kwa Maafisa Ustawi ili kuweza kuwatambua jambo ambalo limekuwa likifanya makundi haya kushindwa kupatiwa misaada mbalimbali vikiwemo vifaa  mbalimbali  na badala yake wamekuwa wakifichwa ndani.

Akikabidhi misaada kwa walemavu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuruthum Sadick amesema kuwa kwa mwaka 2022/2023 Halmashauri imetenga Milioni 6 kwa ajili ya kuwasaidia Walamavu ambapo mpaka sasa kiasi cha Shilingi milioni tatu kimetumika kwa ajili ya kununua vifaa vilivyokabidhiwa na amesema kuwa matamanio yake ni kuona kila Mlemavu anaweza kufikiwa na kusaidiwa na pia  kulingana na makusanyo ya mapato ya  Halmashauri bajeti zaidi itaongezwa kwa kadri ya mahitaji kusaidia makundi hayo.

Aidha Kuruthum amewataka Wanafunzi wote ambao wenye ulemavu kuhakikisha kuwa Wanasoma kwa bidii kwani kuwa na ulemavu sio sababu ya kuwafanya kushindwa kufanya vizuri na amesema kuwa Halmashauri kupitia Kitengo cha Ustawi wa jamii kuhakikisha kuwa Watoto wenye ulemavu waliopo shuleni wanawezeshwa kwa kuwa na mazingira bora ya kusomea.

Chervin Mwalongo ni Mwanafunzi katika Shule ya Sekondari Makambako na ni mlemavu wa viungo  ambaye yeye ameishukuru Halmashauri kwa msaada huo na amesema kuwa jamii isichoke kuendelea kusaidia makundi hayo kwani wapo wengi ambao hawajaweza kufikiwa.






Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe