• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kamati ya Fedha Halmashauri ya Mji Njombe yawataka Madiwani Kusimamia Miradi ya Maendeleo

Tarehe iliyowekwa: April 10th, 2020

Wakizungumza mara baada ya kukagua na kutembelea mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari Utalingolo kamati hiyo imebaini kuendelea kusuasua kwa ujenzi wa shule hiyo jambo ambalo linaweza kupelekea shule hiyo kutokamilisha ujenzi wa majengo muhimu  kwa wakati kutokana na ukosefu wa mpango kazi wa shughuli za ujenzi katika shule hiyo.

“Shule hii imechukua muda mrefu sana katika ujenzi. Tumeona kunashughuli zinazoendelea za ujenzi. Kuna ujenzi wa majengo ya maabara, nyumba za waalimu, na Hosteli ya Wanafunzi shughuli hizi haziwezi kwenda kwa wakati mmoja na tunaona kuwa uchangiaji hapa wa Wananchi si wakuridhisha. Ni vyema wakaona yale ya msingi ili shule iweze kufunguliwa wakayapa kipaumbele kwanza. Wanafunzi wa Kata hii wanahangaika sana lakini pia Wananchi wa Kata hii si wa moja katika kuchangia inabidi waone ni kwa kiasi gani wanafunzi wanaofaulu katika Kata hii wanahangaika na itakapokamilika itakuwa mkombozi mkubwa” Alisema Mwanzinga Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha

Aidha katika Ujenzi wa Kituo cha Afya Kifanya na Ujenzi wa Madarasa katika Shule ya Msingi Mikongo Kamati pia imebaini kusimama kwa mradi kwa kipindi kirefu kutokana na Mwamko hafifu wa Wananchi kuchangia miradi hiyo na Waheshimiwa Madiwani wa Kata husika ambao ndio Wenyeviti wa Kamati za Maendeleo za Kata kutoshiriki ipasavyo kuhakikisha kuwa miradi hiyo inaendelea.

“Mheshimiwa Diwani unapaswa kuwa mstari wa mbele katika kusimamia miradi inayotekelezwa kwenye Kata yako. Yapo maeneo ambayo miradi imesimama na fedha zipo lakini Madiwani hawafanyi jitihada za kusimamia miradi hiyo. Inabidi tutafakari nafasi tulizokalia na kuona kama tunawatendea Wananchi yale tuliyowaahidi. Alisema Mtamike Diwani wa Kata ya Mjimwema.

ziara hiyo iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Edwin Mwanzinga, Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Mkurugenzi wa Halmashauri na Wataalamu ilifanikiwa kutembelea miradi 12 katika sekta ya Afya na Elimu sambamba na kukagua shughuli za uendeshaji katika  eneo la stendi mpya ya mabasi Njombe ambapo mradi wa ujenzi wa madarasa shule ya sekondari Matola, Ujenzi wa bweni Shule ya Sekondari Anne Makinda, Nyumba ya Mganga Iduchu na Ujenzi wa Zahanati Iduchu imeonekana kuwa katika hatua nzuri za ukamilishaji

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe