• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kamati ya Ulinzi na Usalama yakagua Miradi ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi 759,680,028

Tarehe iliyowekwa: September 22nd, 2025

Agosti 21, 2025 - Kamati ya ulinzi na usalama Wilaya Njombe  ikiongozwa na Mwakilishi wa Mkuu wa wilaya  Njombe, OCD Masoud Kwileka, imekagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi milioni 759,680,028 inayotekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Njombe.


Akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo, OCD Kwileka ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Njombe, alisema ameridhishwa na namna mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe anavyosimamia utekelezaji wa miradi ambapo alisema juhudi hizo ni jambo linalotia moyo kwa wananchi wa maeneo husika.


Aidha ameipongeza timu ya wataalamu kutoka ofisi ya mkurugenzi na  kuwataka waendelee kusimamia kwa karibu na kuhakikisha changamoto zinazoibuka wakati wa utekelezaji zinapatiwa ufumbuzi wa haraka.


“Niwapongeze sana mkurugenzi na timu yake kwa kusimamia vizuri miradi hii Endeleeni kusimamia kwa umakini ili iweze kukamilika kwa wakati na wananchi waanze kuitumia miradi hii ambayo ni kiu yao ya muda mrefu,” alisema OCD Kwileka.



Kamati hiyo ilikagua ujenzi wa madarasa 2 na matundu ya vyoo 12 shule shikizi ya msingi Nundu,ukamilishaji wa zahanati ya Itipula ,ujenzi bweni shule ya sekondari Kifanya na ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Magoda.


Miradi hiyo imetelezwa na fedha kutoka Serikali kuu,mapato ya ndani,B0OOST  SEQUIP na mfuko wa jimbo ambapo mpaka sasa miradi bado inaemdelea kukamilika.


Ukaguzi huo umetajwa  kuongeza uwajibikaji kwa wataalamu na viongozi wa halmashauri kwani dhamira ya Serikali ni kuhakikisha kila mradi unaotekelezwa na kuleta tija kwa wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29,2025

    October 15, 2025
  • MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YASISITIZWA KWA WAKULIMA WA MTAA WA MPOBOTA - MJIMWEMA .

    October 11, 2025
  • MWEKEZAJI MADEBE AKABIDHIWA HATI MILIKI 16

    October 11, 2025
  • WANANCHI MPOBOTA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

IFAHAMU HUDUMA YA KIPEKEE INAYOPATIKANA NDANI YA SOKO KUU NJOMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe