• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Kamati za Miradi za Kata Wapatiwa Mafunzo Juu ya Usimamizi w Miradi

Tarehe iliyowekwa: November 25th, 2019

Halmashauri ya Mji Njombe imetoa mafunzo kwa Madiwani, Watendaji wa Kata, Waratibu Elimu, Maafisa  Tarafa na Wakuu wa Shule za Sekondari lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo wa namna ya kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao.

Mafunzo hayo yanafuatia ziara iliyofanywa na Kamati ya Fedha na Utawala kwenye ukaguzi wa miradi ambapo ilibaini uwepo wa changamoto katika usimamizi wa ujenzi katika sekta ya afya na elimu. Mafunzo hayo yaliambatana na uandaaji wa mipango mikakati ya ukusanyaji mapato.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi Illuminatha Mwenda alisema kuwa Halmashauri ya Mji Njombe kwa mwaka wa fedha uliopita zaidi ya Shilingi bilioni moja zilipelekwa kwenye Kata kwa ajili ya kuchangia miradi ya maendeleo na hivyo kuona ni vyema kuwapatia elimu ya usimamizi wa miradi hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Edwin Mwanzinga amesema kuwa zipo baadhi ya Kata ambazo zimekuwa hazizingatii kanuni na taratibu katika usimamizi wa miradi na manunuzi jambo ambalo limekuwa likileta migogoro na kuibua hoja zisizo za lazima jambo ambalo amekemea na kuzitaka Kamati hizo kufanya kazi kwa uadilifu na kuzingatia kanuni na taratibu.

Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo hayo wamesema kuwa elimu waliyoipata imekua na manufaa makubwa na kuahidi kuitumia vyema katika kuhakikisha kuwa miradi hiyo inatekelezwa kwa ufanisi na ubora uliokusudiwa.

Mada zilizotolewa ni pamoja na usimamizi wa sheria za manunuzi ,wajibu wa Waheshimiwa Madiwani katika kusimamia miradi ya maendeleo,utaratibu wa kuingia mikataba,jitihada za jamii,usafi wa mazingira  mapato na matumizi ya mifumo katika kukusanya mapato.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe