• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

KAMPENI, MSAADA WA KISHERIA KIZIFIKIA KATA NA VIJIJI NJOMBE.

Tarehe iliyowekwa: May 24th, 2024

Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Compain)  Mkoa wa Njombe utaambatana na zoezi la utoaji wa huduma ya msaada wa kisheria kwenye kata na vijiji katika Halmashauri zote sita za Mkoa wa Njombe.

Hayo yamebainishwa Mei 24,2024 na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria  Dkt. Khatibu Kazungu, baada ya kutambulishwa na mkuu wa wilya ya Njombe Mhe.Kissa Kasongwa kwa wananchi na watendaji wa kata 13 za Halmashauri ya Mji Njombe waliofika ofisini kwake kupata huduma mbalimbali ikiwemo msaada wa kisheria

“Tuko hapa Njombe kwa ajili ya tukio kubwa la uzinduzi wa kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia(Mama Samia Legal Aid Compain) mkoa wa Njombe, katika kampeni hii tutakwenda kwenye Halmashauri zote na huko tutatoa huduma  katika kata 10 na vijiji visivyopungua 3”.Alisema Dkt.Kazungu.

Dkt.Kazungu ametoa wito kwa wananchi wote wenye changamoto mbalimbali zinazohitaji msaada wakisheria kujitokeza ili zitatuliwe.

 “Tumefika na timu ya wataalamu wakutosha kutoka Wizara ya Katiba na Sheria,Maendeleo ya Jamii na dawati la jinsi na timu hii itatoa msaada wa kisheria  kwenye masuala ya mirathi, ndoa, migogoro ya ardhi pamoja na matatizo ya unyanyasaji wa kijinsia, kwa matatizo ambayo yatashindwa kutatuliwa wahusika watapatiwa wakili bure kwa ajili yakuendelea na taratibu nyingine za kisheria.”Alieleza Dkt.Kazungu.

Kata za Halmashauri ya Mji Njombe zitakazofikiwa na huduma ya msaada wa kisheria ni kata ya Mjimwema,Njombe Mjini,Ramadhani,Lugenge ,Yakobi,Kifanya,Iwungilo,Ihanga,Luponde na kata ya Uwemba.

Pamoja na huduma ya msaada wa kisheria zitatolewa huduma za upimaji wa afya bure kwa Saratani ya mlango wa kizazi, Saratani ya matiti, tezi dume, uchunguzi wa sikio, pua na koo pamoja na upamaji wa magonjwa mengine yasiyoambukizwa. Huduma zote zitatolewa na madaktari bingwa kutoka hospitali ya Aghakhan.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe