• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

KAMPUNI IMEKUAMINI UWE MWAMINIFU

Tarehe iliyowekwa: November 10th, 2023

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amemtaka msimamizi wa ghala la kuifadhia mbolea zinazozalishwa na kampuni ya  Itracom Fertelizer Tanzania yenye makao makuu yake Mkoani Dodoma,kuhakikisha anakuwa mzalendo na kuwa mwaminifu katika kazi yake.

Mheshimiwa Mtaka  amezunguma hayo  Novemba 10,2023 baada yakufanya uzinduzi wa ghala lakuhifandhia mbolea za kampuni hiyo ya  Intracom lililojengwa mtaa wa kambarage kata ya Njombe Mjini.

Mtaka amesema kumekuwa na tabia ya baadhi ya wasimamizi wa maghala kukosa uaminifu kwa sababu ya tamaa jambo ambalo limewaumiza baadhi ya wakulima mkoani Njombe.

“kampuni imekuamini kwa uaminifu mkubwa, ninyi wenyewe watanzania mnakatisha watu tamaa ,unakuja unamfanyia binadamu mwenzako matendo ya kinyama,hatutarajii ufike kwenye tamaa yakijinga ya namna hiyo, fedha zinapita unakufa unaziacha”Alisema Mhe Mtaka.

Aidha ameutaka uongozi wa kiwanda hicho kupitia kitengo cha masoko kuweka mkakati wa masoko haswa kwa mkoa wa Njombe ambao ni mkoa wa pili kwa matumizi ya mbolea nchini Tanzania ,ili kuongeza mauzo na kuwezesha kampuni hiyo kuendelea kuzalisha mbolea kwa wingi nakutimiza maono ya Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha nchi inakuwa na viwanda vya kuzalisha mbolea nakuacha kuagiza mbolea kutoka nje ya nchi kwa gharama kubwa.

Amesema ipo haja kwa wakulima mkoani Njombe kuwa na uelewa mkubwa wa mbolea hiyo inayozalishwa hapa nchini kwa kutumia malighafi za ndani ikiwemo samadi ambayo hufanya ardhi kukaa na rutuba kwa muda mrefu na hivyo kupunguza matumizi ya mbolea mbadala kwa kiwango kukubwa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mhe.Erasto Mpete ametoa rai kwa kampuni hiyo kuhakikisha inakuwa na mashamba darasa kwenye kata zote ili kuonesha ufanisi wa mbolea hiyo kwa wakulima.

Kampuni ya  Itracom fertilizer Tanzania ilianza  rasmi kuzalisha na kusambaza mbolea Disemba 2022 na inazalisha mbolea aina 3 ambazo ni mbolea ya kupandia ,kukuzia na mbolea ya kunepesha kwa kuzingatia afya ya udongo.Mpaka sasa kiwanda kimefanikiwa kusambaza mbolea kwenye mikoa zaidi ya 18.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe