• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

KIJANA ISMAIL KINUMBI ANAHITAJI MSAADA KUJENGEWA NYUMBA YA KUISHI

Tarehe iliyowekwa: August 18th, 2023

Wadau mbalimbali wameombwa kujitokeza kusaidia ujenzi wa nyumba ya kuishi familia ya kijana muhitaji ambaye ni mlemavu Ismail Rashid Kinumbi ili kuwatoa kwenye adha wanayoipata kwenye nyumba za kupanga.

Rai hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Njombe Mhe. Kissa Gwakisa Agosti 17,2023 wakati alipomtembelea kijana huyo nyumbani anapoishi kumjulia hali na kumkabidhi baadhi ya mahitaji yaliyotolewa na wadau pamoja nakuona hatua zilizofikiwa kwenye ujenzi wa nyumba kwa ajili ya hiyo.

Mhe Kissa ametumia fursa hiyo kuwashukuru wadau mbalimbali waliojitoa kwa nyakati tofauti akiwepo Mkurungenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Ndugu Kuruthum Sadick kwa kuhakikisha kijana Ismail anapata bima ya afya, kiti mwendo (wheelchair) pamoja na mahitaji mengine muhimu kulingana na hali yake ikiwemo diapers za kumsitiri na chakula.

Aidha ametumia fursa hiyo kuwaomba wananchi na wadau wengine walioweka ahadi za kumsaidia kijana huyo kuhakikisha wanazitimiza ili ujenzi wa nyumba yakuishi familia hiyo uendelee na kukamilika kwa haraka.

Mhandisi wa ujenzi Halmashauri ya Mji Njombe Bernadetha Mihambo amesema ujenzi wa nyumba hiyo unatarajia kutumia kiasi cha shilingi milioni 29,000,000/= akiomba wananchi kujitoa kwa moyo ili ujenzi wa nyumba hiyo uweze kukamilika.

Kwa upande wake mama mzazi wa kijana Ismail Bi Shakira Ngonyani ametoa shukrani zake za dhati kwa wale wote waliojitokeza kuchangia mpaka kukamilisha hatua ya ujenzi wa msingi wa  nyumba ,kisima pamoja na uzio.

Kwa yeyote anayeguswa kuchangia ujenzi wa nyumba yakuishi kijana Ismail Kinumbi,michago yote inapokelewa na Afisa Ustawi wa Jamii Halmashauri ya Mji Njombe  Petro Mahanza kwa nambari ya Simu 0767 - 300801.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe