• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

KIWANDA IDOFI KIANZE KAZI JANUARI 2024,

Tarehe iliyowekwa: October 27th, 2023



Na Ichikael Malisa - Njombe


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, Oktoba 26,2023 ametoa maelekezo kwa wizara ya afya pamoja na Bohari ya Dawa Tanzania MSD kuhakikisha inasimamia kiwanda chakuzalisha mipira ya mkono (gloves) mjini Makambako, ili kianze kufanya kazi ifikapo Januari Mosi 2024.


Akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi kwenye kiwanda hicho Dkt. Mpango amesema serikali iliamua Kuja na Mpango wa kujenga viwanda kwenye sekta ya afya ili kupunguza uagizwaji wa dawa kutoka nje ya nchi.


Amesisitiza kuwa serikali ilikabidhi jukumu la kuzalisha, kununua, kutunza na kusambaza kwa bohari ya dawa Tanzania MSD ili kuongeza upatikanaji wa vifaa tiba kupungiza matumizi ya fedha kigeni pamoja na kuongeza soko la ajira kwa wa Tanzania.


Aidha ameigiza kuongezwa kwa idadi ya wafanyakazi kwenye kiwanda hicho hasa wanawake wanaotokea kijiji cha Idofi ili waweze kunufaika na mradi huo.


Katika hatua nyingine Dkt Mpango amewataka watumishi wa Bohari ya dawa kuwa wazalendo nakuzingatika maadili ya utumishi.


Kufutia ombi la kuwekwa lami barabara inayoelekea kiwandani hapo lililowasiliswa na Mbunge wa Makambako Mheshimiwa Deo Sanga, Mheshimiwa Dkt Mpango amesema;


"Tamisemi iagizeni Wakala ya barabara za mijini na vijijini TARURA wakamilishe tathmini ndani ya wiki mbili wawasilishe kwakuwa serikali yetu inayoongozwa na mama Dkt Samia Suluh. Hassan ni sikivu na ipo kazini hii kilometa 1 itajengwa kwa kiwango cha lami.


Pamoja na hilo ameita MSD kuzingatia misingi ya kibiashara ili iweze kujitegemea kwenye uzalishaji sambamba na kuhakikisha kiwanda cha Idofi kinazalisha bidhaa nyingine kama dawa na vitendnishi.


Aidha ameigiza kundaliwa kwa taarifa ya kina ya mitambo iliyopo kiwandani hapo ambayo haifanyi kazi kwa miaka miwili sasa samba samba na mkakati wa kujibu na kumaliza hoja za ukaguzi.

@ortamisemi @dktfestodugange @wizara_afyatz

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe