• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MAADHIMISHO YA SIKU YA WATOTO NJITI YAFANYIKA KIBENA HOSPITALI

Tarehe iliyowekwa: November 17th, 2024

Na.Ichikael Malisa. 

TAREHE 17,Novemba 2024 Halmashauri ya Mji Njombe imeadhimisha Siku ya Watoto Njiti duniani kwa mara ya kwanza, ikiwa ni juhudi za kuhamasisha na kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kuwajali na kuwaheshimu watoto wanaozaliwa kabla  ya kutimiza wiki 37 za ujauzito (njiti) na wenye uzito pungufu. 


Akizungumza wakati wa Hafla hiyo iliyofanyika katika hospitali ya Mji Njombe Kibena ,Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dr. Ayub Mtulo,alisema lengo la kufanyika maadhimisho hayo ni kutoa elimu kwa jamii kuhusu watoto njiti na haki zao. 


"Lengo la maadhimisho haya ni kutaka jamii  kutambua kuwa watoto njiti wapo na wanaishi. Lazima tuwaheshimu, tuwatunze, na kuwathamini. Pia, tunatoa elimu kwa jamii kuhakikisha kuwa hakuna unyanyapaa dhidi ya akinamama wanaojifungua watoto njiti." 


Alitoa wito kwa wazazi hasa wanaume kuachana na dhana potofu kuhusu watoto njiti akiwataka wanaume na akina mama  kushirikiana katika malezi ya watoto hao ili kufanikisha ukuaji wao. 



Aidha, alieleza kuwa hospitali Mji Njombe Kibena  imepiga hatua kubwa katika kuboresha huduma kwa watoto njiti. 


“Hospitali yetu ilikuwa na chumba kidogo sana. Lakini sasa tuna jengo jipya linalokidhi vigezo vyote,  vifaa vya kisasa na kwa umuhimu wa watoto hawa tumeweka wataalamu wa kutosha ambao wanahudumia kitengo cha watoto njiti peke yake tofauti na mwanzoni. Malengo yetu ni kupunguza vifo vya watoto wachanga na watoto njiti.” 


Alisisitiza jamii kuwajali wajawazito, kuwahimiza kuhusu lishe bora, na kuhakikisha wanapata huduma bora kabla, wakati, na baada ya kujifungua. 


Maadhimisho ya siku ya watoto Njiti dunia 2024 yameongozwa na kaulimbiu inayosema, Kitendo kidogo,matokeo makubwa ikielezea umuhimu wa wazazi kutumia njia ya Kangaroo kusaidia ukuaji wa watoto Njiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe