• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MAFUNZO KWA MAAFISA TARAFA NA WATENDAJI WA KATA NJOMBE YATAMATISHWA NA MKUU WA MKOA NJOMBE ANTONY MTAKA.

Tarehe iliyowekwa: June 8th, 2023

Mafunzo kwa maafisa tarafa na watendaji wa kata mkoa wa Njombe  yamemalizika kwa nasaha za utendaji kazi bora kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Njombe Mhe Antony Mtaka.

Mkuu wa Mkoa Mtaka amezungumza na watumishi hao wakati akifunga mafunzo yaliyo andaliwa na Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za mitaa(TAMISEMI),Akiwataka Maafisa na Watendaji hao kwenda kuwajibika na kusimamia vema fedha za serikali kwakufuata   sheria na miongozo mbalimbali ya serikali katika utendaji wao wa kazi.

"Miradi ya serikali ambayo ipo maeneo yenu tunaomba tukaone mabadiliko chanya kwasababu mafunzo yameshatolewa na tunategemea usimamizi mzuri katika katika miradi na ufuatiliaji katika maeneo yenu ili tuweze kupata matokeo mazuri ya serikali."

Akizungumza kwa niaba ya waliohudhuria mafunzo hayo Katibu tarafa ya Lupalilo Augustino Ngailo amesema wanamshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha mafunzo hayo kutolewa ili kwenda kuwasaidia kuboresha utendaji wa kazi za serikali  kwa kiasi kikubwa hasa katika kuhakikisha serikali inapta  mapato mengi na kwa usimamizi mzuri wa sheria za nchi.

''Kwa mafunzo ambayo tumeyapata tumekuwa wapya , tunakuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa  tunakwenda kufanya kazi na sio kwa mazoea tena, hatutaiangusha serikali katika hili  tunakwenda kufanya vizuri zaidi."

Kwa upande wake Mkurugenzi wa sera na mipango kutoka Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) John Cheyo amesema dhumuni la kuamua kufanya mafunzo hayo ni  kutokana na  changamoto nyingi za kiutendaji wanazokutana nazo watumishi zinazotokana na kukosekana kwa uelewa wa kina wa taratibu na miongozo ya utendaji kazi.

Mafunzo hayo yalifanyika kwa siku mbili(2) kuanzia  Tarehe 7 Juni 2023 na kutamatika Tarehe 8,Juni 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe