• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA MFUGAJI WA SAMAKI KWENYE UZINDUZI WA MAONESHO YA NANENANE

Tarehe iliyowekwa: August 1st, 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Isdor Mpango leo Agosti 1,2022 mkoani Mbeya amefungua maonesho ya sherehe za Nane nane ambayo kitaifa yanafanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya

Mhe.Dkt Mpango akiwa na Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe amekata utepe ikiwa ni ishara ya kufungua rasmi maonesho hayo kwa mwaka huu 2022.Katika hotuba yake Mhe.Dkt Mpango amepongeza maandalizi mazuri yaliyofanyika na kuwapongeza wakulima, wafanyabiashara na taasisi mbalimbali kwa kushiriki katika maonesho hayo.

Aidha Mhe.Makamu wa Rais amesisitiza suala la kilimo biashara na kuwahakikisha wakulima upatikanaji wa pembejeo za kilimo na mbolea, "Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima, wafugaji wanapata pembejeo za kilimo, mbolea kwa wakati na bila usumbufu" Alisema Mpango

Awali katika ufunguzi wa maonesho hayo Dkt. Mpango alitembelea katika mabanda mbalimbali na kujionea shughuli zinazofanywa na Wakulima,Wafugaji na Taasisi mbalimbali.Mfugaji wa samaki kutoka katika Kijiji cha Magoda Kata ya Uwemba Halmashauri ya Mji Njombe ni miongoni mwa wafugaji waliobahatika kutembelewa na Makamu wa Rais ambapo ameeleza kuwa sababu kubwa iliyomfanya kutumia teknolojia ya ufaugaji samaki kwa kutumia nyumba kitalu ni kutokana na hali ya hewa ya Njombe kuwa ya baridi na hivyo kupelekea samaki kutokuku kwa haraka lakini matumizi ya nyumba kitalu yamesaidia samaki kukua kwa haraka.

Makamu wa Rais ametoa rai kwa Taasisi za kifedha  hapa nchini kuendeleza jitihada za kuweka masharti nafuu ya upatikanaji wa mikopo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi ili kuongeza uwekezaji na uzalishaji katika sekta hizo na kupunguza changamoto za ajira. 

 Kauli mbiu ya maonesho ya Nane Nane 2022 "Ajenda 10/30: Kilimo ni Biashara, Shiriki Kuhesabiwa kwa Mipango Bora ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI NJOMBE TC AAGANA NA TIMU ITAKAYOCHEZA SHIMISEMITA.

    August 12, 2025
  • LISHE NA AKIBA YA MAZAO YAHIMIZWA NANENANE.

    August 08, 2025
  • KHERI YA SIKUKUU YA WAKULIMA 88 2025.

    August 08, 2025
  • ELIMU YA UNYONYESHAJI YATOLEWA KWA WAKAZI WA LWANGU

    August 05, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe