• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MAZINGIRA YA KAZI YASIKUFANYE UFADHAIKE NAFSI MKURUGENZI NJOMBE ATETA NA AJIRA MPYA

Tarehe iliyowekwa: September 19th, 2022

Halmashauri ya Mji Njombe kupitia Idara ya Utumishi na Utawala imetoa mafunzo ya siku moja kwa watumishi waliopata  ajira  kwa mwaka 2022/2023 katika Halmashauri, lengo la mafunzo hayo ikiwa ni  kupunguza makosa katika utendaji  kazi wao wa kila siku, kujua haki na wajibu wao ili kuongeza nidhamu na uwajibikaji katika kazi.

Akizungumza katika mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Ester Gama amesema kuwa mafunzo hayo ni hatua ya awali kwa kila mtumishi wa umma kwani yapo makosa yanayokuwa yakifanywa na Watumishi kutokana na kutokujua na ndio maana wameona ni vyema kufanya mafunzo hayo ambapo amesema kuwa idara yake imejipanga kuendelea kutoa mafunzo ya mara kwa mara na ufuatiliaji ilikuweza  kukumbusha na kutoa elimu zaidi za wajibu wa kila mtumishi wa umma.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Kuluthum Sadick amewataka Watumishi hao kuhakikisha kuwa wanatumia nafasi waliyoipata kufanya kazi kwa bidii na ubunifu bila kujali mazingira ya kazi yanayowazunguka.

“Nimefurahi kwanza wengi wenu hapa ni vijana nafasi uliyopewa uifanyie kazi kwani wapo wengi ambao mpaka sasa hawajapata ajira na wanatamani kupata kazi kama hiyo uliyonayo. Usiwe mtu wa kukimbia kimbia kila mtu amekuja mwenyewe na kila mtu ataondoka mwenyewe yasikilize yaliyo mazuri ambayo hayastahili yaache.”Alisema Mkurugenzi.

Katika hatua nyingine  Kuluthum amewataka Watumishi hao hususani katika Idara ya Afya kuhakikisha kuwa wanakuwa na lugha nzuri kwa Wagonjwa na kutoa huduma kwa upendo ili kuwa mfano wa kuigwa kwa jamii lakini pia hata kwa wale ambao watakaowakuta ili kutengeneza taswira zao na kuweza kuwatofautisha kati ya mtu mmoja na mwingine.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri Daktari Yesaya Mwasubila amewataka Watumishi hao kufanya usimamizi wa mapato na matumizi ya dawa na kuwa na kumbukumbu sahihi juu ya  matumizi bora ya dawa na mapato yatokanayo kwenye vituo hivyo.

Ikimbukwe kuwa katika kipindi cha kuanzia Julai mwaka 2022 Halmashauri ya Mji Njombe imepokea jumla ya watumishi 56 katika mchanganuo ufuatao Idara ya Afya Watumishi 35, Elimu Sekondari Watumishi 11, Elimu Msingi Watumishi 4 na Utawala Watumishi 6.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe