• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MBUNGE MWANYIKA ATOA MIFUKO YA SARUJI KUCHANGIA UJENZI WA MIRADI JIMBO LA NJOMBE MJINI

Tarehe iliyowekwa: March 9th, 2022

Mbunge wa jimbo la Njombe Mjini Mheshimiwa Deo Mwanyika amekabidhi mifuko ya saruji 2850 yenye thamani ya shilingi milioni 31.9 katika kata mbalimbali za Halmashauri ya Mji Njombe.

Akizungumza katika makabidhiano hayo Mwanyika amesema kuwa katika ziara zake ambazo alizokuwa akizifanya kwenye vijiji na mitaa changamoto kubwa na kilio kikubwa cha Wananchi ilikuwa ni maombi ya saruji kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa miradi kwenye maeneo mbalimbali

“Katika ziara zangu zote nimezifanya hakuna risala ambayo haikuwa na mahitaji ya saruji. Wananchi Wananchangia, Halmashauri inachangia, Serikali Kuu inachangia na Mbunge anachangia. Hakuna eneo nililopita ambalo hawakutamka mahitaji ya saruji. Na mimi kwa kuliona hilo nikaamua kununua kwa pamoja saruji ili kuweza kupunguza changamoto hiyo.Ni kweli kuwa katika kila Kata kuna shughuli za ujenzi zinafanyika na takwa kubwa limekuwa ni mahitaji ya saruji.”Alisema Mwanyika.

Aliendelea kusema”Niliona ni vizuri kutatua tatizo hilo hatuwezi kulimaliza kwani ujenzi ni shughuli endelevu. Msimamo wangu mimi ni kuwa hatutoi mifuko hii ya saruji ili ikakae bila kufanya kazi. Tunamifuko 2850 ambapo kati ya hiyo mifuko 2125 tumetoa kupitia fedha za mfuko wa jimbo  na mifuko 725 ikiwa ni mchango wangu binafsi.Katika kila Kijiji kitapatiwa mifuko 50 ya Saruji na Kata zitapatiwa mifuko 150 ya Saruji. Nipende kuwasihi na kuwaonya kuwa ninyi ndio wasimamizi wakuu wa shughuli za maendeleo kwa Wananchi  tukafanye kazi kwa uadilifu na usimamizi wa karibu ili ikatumike kwa kadri ya makusudio”Alisema Mbunge

Wakitoa shukrani zao baadhi ya Watendaji akiwemo Neema Mtama Afisa Mtendaji Kijiji cha Lwangu na Christina Mgimba Afisa Mtendaji Kata ya Mjimwema wamesema kuwa Wanamshukuru sana Mheshimiwa Mbunge  kwa msaada huo  kwani wanaamini kuwa itasaidia kufikisha miradi hiyo kwenye hatua kubwa lakini pia itawatia moyo Wananchi kuendelea kuchangia miradi ya maendeleo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Bi.Kuluthum Sadick amemshukuru Mheshimiwa Mbunge kwa kutekeleza ahadi yake na amesema kuwa kwa hatua ya sasa mifuko hiyo itasaidia sana kwenye kufanikisha miradi hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI NA MITAA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.

    July 05, 2025
  • RUZUKU YA CHANJO YA MIFUGO,KINGA KWA MAENDELEO YA MIFUGO

    July 05, 2025
  • Dkt. Mhede azindua zoezi la chanjo ya ruzuku kwa mifugo Halmashauri ya Mji Njombe, dozi 227,000 kutolewa kwa ng'ombe na kuku

    July 05, 2025
  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • Angalia zote

Video

ZIFAHAMU FAIDA ZA HERENI YA KIELEKTRONIKI KWA NG'OMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe