• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MENEJIMENTI NJOMBE TC YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.22

Tarehe iliyowekwa: October 2nd, 2025

Timu ya wataalamu (CMT)  kutoka Halmashauri ya Mji Njombe Septemba 30,2025 imetembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi 2,224,466,686.90.


Ziara hiyo imelenga kuangalia hatua za utekelezaji wa miradi hiyo na kujiridhisha kama fedha zilizotolewa zinatumika kwa usahihi, ufanisi na kwa kuzingatia thamani halisi ya fedha.


Aidha, timu hiyo ilitoa maelekezo kwa wakandarasi na wasimamizi wa miradi kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati, viwango vinazingatiwa na thamani ya fedha inaonekana moja kwa moja kupitia kazi zinazofanyika.


Timu hiyo ya wataalamu ilikagua miundombinu ya :-


Ujenzi wa shule mpya ya Elimu ya awali na msingi ya mkondo mmoja Mgola unaogharimu kiasi cha  shilingi 329,500,000.00.

Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo S/M Nazareti  unaogharimu Tsh 70,100,000.00.


Ukarabati wa Shule ya Msingi Kambarage  kwa gharama ya Tsh 132,830,905.00


Ujenzi wa madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo S/M Kibena kwa gharama ya Tsh 88,000,000.00.


Ujenzi wa bweni S/S Anne Makinda kwa gharama ya shilingi 138,115,219.16



Ujenzi wa Zahanati kijiji cha Yakobi  Tsh 131,653,194.29.


Ujenzi wa bweni shule ya sekondari Kifanya linalogharimu Tsh 138,115,219.16.


Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika Hospitali ya Kibena  kwa gharama ya Tsh 900,000,000.00.


Ujenzi wa Zahanati katika Mtaa wa Kambarage inayogharimu Tsh 134,152,149.29 pamoja na ukamlishaji wa zahanati ya kijiji cha Itipula kwa gharama ya Tsh 162,000,000.00

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29,2025

    October 15, 2025
  • MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YASISITIZWA KWA WAKULIMA WA MTAA WA MPOBOTA - MJIMWEMA .

    October 11, 2025
  • MWEKEZAJI MADEBE AKABIDHIWA HATI MILIKI 16

    October 11, 2025
  • WANANCHI MPOBOTA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

IFAHAMU HUDUMA YA KIPEKEE INAYOPATIKANA NDANI YA SOKO KUU NJOMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe