• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MICHEZO NI AFYA - HAKIKISHENI WANAFUNZI WANASHIRIKI MICHEZO

Tarehe iliyowekwa: October 15th, 2023

Mkuu wa idara ya Elimu Msingi Halmashauri ya Mji Njombe Bi. Shida Kiaramba ametoa wito kwa shule zote za msingi Halmashauri ya Mji Njombe kuhakikisha zinakuwa na programu za michezo kwa wanafunzi ili kuwajenga kiafya na kiakili.

Ametoa rai hiyo  Oktoba,15, 2023 akiwa ni mgeni rasmi kwenye fainali za mashindano ya Mpete Diwani Cup kwa Shule za Msingi zilizopo Kata ya Utalingolo Halmashauri ya Mji Njombe.

"Nitoe wito kwa shule nyingine zilizopo halmashauri ya mji Njombe kutenga muda wa michezo ili kuwawezesha watoto kujenga afya zao na kiakili hasa wanapokuwa wanafundishwa darasani."

Aidha  Bi.Shida kiaramba amempongeza Mhe.Erasto Mpete mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe na diwani wa  kata hiyo  kwa kuanzisha mashindano hayo ambayo yanatasaidia kukuza vipaji vya watotom

"tumewaona watoto wakicheza ,wanaonesha nyuso za furaha , tunashukuru sana Mhe, Erasto Mpete hakika huu ni mchango mkubwa sana ambao umeuleta kwa halmashauri yetu ,naimani mashindano haya tutawatoa watoto wengi wa Umitashumta kwenye  kata ya Utalingolo" Alisema Bi.shida kiaramba.

Kwa upande wake Mhe,Erasto Mpete Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe na Mkurugenzi wa Mpete Agrovert Center amesema wemeweza kufanikisa mashindano hayo kwa kutoa vifaa vya michezo ,kwa shule zote za kata ya Utalingolo huku akitoa rai kwa shule zote za Halmashauri ya MjI Njombe kuhakikisha wanafunzi asubuhi wanakimbia mchakamchaka kulingana na uwezo wa umri wao.

“Kwa kushirikiana na watumishi,na viongozi wa kata  tuliona michezo imeshuka  kwa pamoja tumehakikisha kwamba shule zetu ndani ya kata ya Utalingolo tunadumisha michezo. Alisema Mhe Mpete.

Shule ya Msingi Utalingolo ilingara kwenye mashindano hayo ya Mpete Diwani Cup 2023 kwa Shule za Msingi kata ya Utalingolo, nakujinyakulia kombe kwenye mchezo wa mpira wa miguu na mpira wa pete (netball) kwa wasichana.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe