• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MILIONI 167.9 ZA MFUKO WA JIMBO ZATEKELEZA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO

Tarehe iliyowekwa: April 20th, 2024

Halmashauri ya Mji Njombe katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka wa fedha 2021/22 imepokea jumla ya Shilingi Milioni 167. 9 za mfuko wa jimbo kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo jimboni.


Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini Mhe. Deo Mwanyika  alisema hayo mjini Njombe Aprili 20, 2024 wakati akiongea na makundi mbalimbali wakiwemo Wanyeviti wa vijiji na mitaa wa Halmashauri ya Mji Njombe, Watendaji wa Kata na Wataalamu wa Halmashauri.

Mhe. Mwanyika alisema, “fedha hizo zimeenda kutekeleza miradi maeneo mbalimbali kama Ununuzi wa mashine ya kutolea nakala (photocopy) katika  shule ya Msingi Uliwa, ujenzi wa soko la kijiji cha Idunda, ufunguzi wa barabara kata ya Mjimwema na Njombe mjini” alisema na kuongeza kuwa, “mradi huu wa barabara utarahishisha mawasiliano  na maeneo menginine ambayo yanauhitaji kwa wananchi.”


Katika hatua nyingine, Mbunge Mwanyika amegawa mifuko ya saruji 1,200 kwenye vijiji 20 na mitaa 3 kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu mbalimbali katika mitaa na vijiji husika.

“Niwaombe wenyeviti tumieni mifuko hii ya saruji kwa ajili ya shughuli zilizokusudiwa,” alisema


Pia, Mhe. Mwanyika katika kipindi cha miaka mitatu ametoa shilingi Milioni 313,650,000/= fedha binafsi kwa ajili ya kuchangia maendeleo katika eneo la Njombe mjini.


Mwaka 2021 alitoa 103,576,000/=,  2022 alitoa 107,680,000/= na mwaka 2023 alitoa 102,400,000/=


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mhe. Erasto Mpete amemshukuru Mbunge kwa namna ambavyo anatekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi ambapo ametoa bure mitambo ya kusafisha barabara zenye changamoto.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe