• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Milioni 75 kuweka taa barabara ya Mabatini - Ramadhani.

Tarehe iliyowekwa: September 20th, 2024

Serikali imetenga shilingi milioni 75 kupitia Wakala wa Barabara za Mijini na Vijiji TARURA kwa ajili yakuweka taa za barabarani baada yakukamilika kwa ujenzi wa barabara  kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 1.57 Mabatini_Ramadhani iliyogharimu zaidi ya shilingi milioni 700.


Akizungumza Septemba 20,2024 wakati wa ziara ya Mhe.Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda Mkoani Njombe,  Mhandisi Gerald Matindi amesema hakuna mkandarasi anayedai na barabara hiyo imekamilika kwa asilimia 100 ikiwa tayari imeanza kutumika.


Barabara ya Mabatini – Ramadhani ni kiunganishi kati ya kata ya Njombe Mjini na kata ya Ramadhani na kukamilika kwa barabara hiyo kumerahisisha usafiri kwa wakazi wa mji wa Njombe pamoja na usafishaji wa bidhaa na mazao mbalimbali ya kilimo.


Mradi huu umejengwa kwa awamu mbili awamu ya kwanza ikitumia fedha za mfuko wa jimbo na awamu ya pili ikijengwa kwa kutumia fedha za mfuko wa barabara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MAPOROMOKO YA MAJI

    June 16, 2025
  • SIKU YA MTOTO WA AFRIKA

    June 16, 2025
  • MHE. MTAKA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO, AIPONGEZA HALMASHAURI YA MJI NJOMBE NA MAFUNDI.

    June 13, 2025
  • ELIMU KUHUSU UMILIKI WA ARDHI YATOLEWA KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA MFEREKE

    June 12, 2025
  • Angalia zote

Video

HUHITAJI TAKUKURU THAMANI YA FEDHA INAONEKANA -MHE. MTAKA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe