• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MILIONI 900 KUKARABATI HOSPITALI YA KIBENA.

Tarehe iliyowekwa: November 10th, 2023

Katibu tawala Mkoa wa Njombe Ndugu Judica Omary amekagua majengo yakutolea huduma  yatakayofanyiwa ukarabati, pamoja na  eneo litakalotumika kujenga majengo mapya yakutolea huduma katika hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe Kibena.

Katibu tawala ameitaka idara ya afya pamoja na uongozi wa hospitali kuhakikisha inasimamia vizuri fedha za mradi huo na kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kwenye ubora unaotakiwa.

“Fanyeni ushindanishi wa mafundi,ulizeni gharama ya hivyo vitu kwa watu tofauti ili kupata gharama nafuu itakayotoa kazi bora na thamani ya fedha ionekane .”Alisema Bi Judica.

Majengo yatakayojengwa kwenye hospitali hiyo ni jengo la Kisasa la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD),jengo la kufulia na stoo ya Dawa (Pharmacy ).

Aidha ukarabati wa majengo utahusisha ukarabati wa wodi ya wanaume, wodi ya watoto, wodi ya daraja A na ukarabati wa jengo la wazazi (kuongeza huduma za uzazi kwa wateja maalum (VIP) delivery services.

Katika hatua nyingine ameishauri ofisi ya mganga mkuu wa mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na ofisi za halmashauri kuona umuhimu wakujifunza ndani ya mkao kwa kufanya vikao vya idara nje ya halmashauri ili kuweza kuona namna wanavyotekeleza miradi ya maendeleo kwenye maeneo kwa lengo la kujifunza na kupata mawazo mapya.

Aidha Bi Judica alipata fursa yakuzungumza na akina mama waliokuwa wakipatiwa huduma kwenye jengo la mama na mtoto nakuwakumbusha, umuhimu wa kunyonyesha maziwa ya mama pekee kwa kipindi cha miezi sita, na kuendelea kunyonyesha mpaka mtoto atakapofikisha miaka miwili pamoja na lishe bora kwa mama mjamzito na watoto chini ya miaka mitano ,ili kupambana na utapiamlo na udumavu mkoani Njombe.

Halmasahuri ya Mji Njombe kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024 imepokea fedha kutoka serikali kuu shilingi 900,000,000/= kwa ajili ya ukarabati wa Hospitali ya Kibena ambayo ni hospitali kongwe mjini Njombe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe