• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MIRADI YENYE THAMANI YA BILIONI 1.3 YAKAGULIWA.

Tarehe iliyowekwa: July 19th, 2024

Wajumbe wa kamati ya Fedha na Utawala Wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Njombe Mhe.Filoteus Mligo ,Julai 18, 2024 wamefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3 fedha kutoka Serikali kuu na Mapato ya ndani ya Halmashauri kwenye kata  nne (4) za Halmashauri ya Mji Njombe.

Katika kata ya Utalingolo ulikaguliwa mradi wa ujenzi wa darasa moja(1) matundu nane (8) ya vyoo na nyumba ya mwalimu (2 in 1) katika Shule ya Sekondari Utalingolo kwa gharama ya Shilingi milioni 84.4.


Katika kata ya Ramadhani ulikaguliwa ujenzi wa vyumba vinne (4) vya madarasa,matundu nane (8 ) ya vyoo na ukamilishaji wa maabara mbili (2) katika shule ya Sekondari Kibena mradi wenye gharama ya shilingi  milioni 129.4.


Kwa upande wa Kata ya Njombe Mjini ulikaguliwa mradi wa matengenezo ya barabara  kwa kiwango cha lami mita 780 kutoka Glory hadi Mahakamani  wenye gharama ya shilingi milioni 585 pamoja na mradi wa ujenzi wa ujenzi wa vyumba tisa (9) vya madarasa na matundu nane (16) katika shule ya Sekondari Mabatini na Mbeyela  shilingi  253.8.


Na katika kata ya Mjimwema shilingi milioni 164.4 zinatekeleza ujenzi wa vyumba sita (6) vya madarasa na matundu nane(8) ya vyoo katika shule ya Sekondari Mpechi ,ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi shilingi milioni 62.5 na ujenzi wa vyumba sita (6) vya madarasa katika shule mpya ya Msingi Lunyanywi

mradi ulioanza kwa nguvu za wananchi Serikali imetoa shilingi milioni 50 ambazo zimekamisha vyumba viwili vya madarasa.

Kwa pamoja wajumbe wa kamati ya Fedha na Utawala Halmashauri ya Mji Njombe wameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ,kwa namna inavyoendelea kuboresha mazingira ya kujifunza na kufundishia na kuhakikisha huduma za msingi zinasogezwa karibu na  wananchi.


Aidha wametoa msisitizo kwa mhandisi wa Halmashauri kufanya usimamizi wa karibu kwa mafundi wote wanaotekeleza miradi hiyo ili iwe bora  ikamilike kwa wakati na thamani ya fedha iliyotolewa ionekane.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe