• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MIRADI YA BILIONI 1.9 YAKAGULIWA NJOMBE TC.

Tarehe iliyowekwa: October 7th, 2025

Timu ya tathmini na ufuatiliaji kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe imefanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Mji wa Njombe, yenye jumla ya thamani ya TZS bilioni 1.98.


Miradi hiyo inatekelezwa kupitia fedha kutoka: 


* TASAF bilioni 1.01.

* BOOST (mpango wa elimu) milioni 620.4.

* Mapato ya Ndani milioni 267.9.

* Serikali Kuu milioni 88.


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa shule mpya, mabweni na bwalo,Ujenzi na ukamilishaji wa zahanati,Nyumba za walimu na watumishi, Ukarabati wa miundombinu ya elimu na afya na Ununuzi wa vifaa tiba


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na :- 


* Ujenzi wa shule mpya ya msingi eneo la Sekondari ya Mgola kwa gharama ya shilingi milioni 329.5.

* Ujenzi wa Bweni la S/S Anne Makinda kwa gharama ya sholingi milioni 138.1.

* Ujenzi wa Zahanati mpya ya mtaa wa Kambarage kwa gharama ya shilingi milioni 92.4.

* Ukarabati wa shule ya msingi Kambarage kwa gharama ya shilingi milioni 132.8

* Kuvisha Mitambo ya X-Ray kwenye Kituo cha Afya Muungano kwa gharama ya shilingi milioni 8.

* Ujenzi wa bwalo la chakula Shule ya Msingi Madobole kwa gharama ya sholingi milioni 153.1.

* Ujenzi wa uzio Zahanati ya Ikisa kwa shilingi milioni 92.4.

* Ujenzi wa nyumba ya watumishi Shule ya Msingi Iwungilo kwa shilingi milioni 82.2.

* Ujenzi wa zahanti ya kijiji cha Yakobi shilingi milioni 92.4.

* Ujenzi wa nyumba pacha zahanati ya Mgala kwa shilingi milioni 83.4.

* Ujenzi wa bweni S/S Kifanya kwa gharama ya shilingi milioni 138.1.

* Ujenzi wa bweni S/S Mgola kijiji cha Lugenge kwa gharama ya shilingi milioni 138.1.

* Ujenzi wa madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo S/M Kibena shilingi milioni 88.

* Ukamilishaji wa bwalo 1 S/S Yakobi shilingi milioni  60.9.

* Ujenzi wa madarasa 2 S/M Selestine Kilasi shilingi milioni 50.

* Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu S/M Mapinduzi shilingi milioni 20.

* Ukamilishaji wa zahanati ya Itipula shilingi milioni  39.

* Ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu S/M Mwembetogwa shilingi milioni 20.



* Ujenzi wa Madarasa 2 S/M Lufingu milioni  25.

* Ukamilishaji wa kituo cha afya Luponde shilingi milioni 30.

* Ukamilishaji wa nyumba ya Mtumishi wa afya zahanati ya Kitulila shilingi milioni 15.

* Ununuzi wa vifaa tiba katika zahanati ya Itipula milioni 33.

* Ujenzi wa bweni S/S Maheve milioni 15.

* Ujenzi wa bwalo S/S Utalingolo milioni 40.

*  Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo elimu ya awali S/M Nazareti Tsh. 70.1.

* Ujenzi wa madarasa 3 na matundu 6 ya vyoo S/M Kibena milioni 88.


Lengo kuu la ukaguzi huo ni kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi, kwa viwango vinavyotakiwa na kwa manufaa ya wananchi.


Timu hiyo imeridhishwa na hatua za utekelezaji na kutoa msisitizo kwa wasimamizi na mafundi ili miradi hiyo  ikamilike kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29,2025

    October 15, 2025
  • MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YASISITIZWA KWA WAKULIMA WA MTAA WA MPOBOTA - MJIMWEMA .

    October 11, 2025
  • MWEKEZAJI MADEBE AKABIDHIWA HATI MILIKI 16

    October 11, 2025
  • WANANCHI MPOBOTA WAHAMASISHWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29, 2025

    October 11, 2025
  • Angalia zote

Video

IFAHAMU HUDUMA YA KIPEKEE INAYOPATIKANA NDANI YA SOKO KUU NJOMBE.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe