• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

Misaada yenye thamani ya Shilingi Milioni 5 laki 4 yatolewa kwa Familia za Watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi

Tarehe iliyowekwa: July 4th, 2019

Halmashauri  Ya Mji Njombe imetoa misaada ya Kijamii yenye thamani ya Shilingi Milioni 5 Laki 4 kwa familia 16 za watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi na vituo viwili vya kulelea  watoto yatima  ikiwa ni sehemu ya mchango wao katika kusaidia watu wenye mahitaji maalumu.

“Sisi kila mwaka katika bajeti yetu Kitengo cha Ustawi Wa Jamii huwa  tunaweka  bajeti kwa ajili ya kuwasaidia wahitaji kupitia mapato ya ndani. Kwa kipindi hiki tumetenga shilingi Milioni 5 na laki 4 na tutagawa kwa kaya 16 na vituo viwili vya watoto yatima ambazo zina hali mbaya sana” Alisema Mwenda Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe wakati wa Makabidhiano hayo.

Kwa upande wake Afisa Ustawi Halmashauri ya Mji Njombe amewaomba wadau wengine na jamii kwa ujumla kuguswa na kuendelea kuzisaida familia zenye uhitaji badala ya kusubiria Serikali pekee.

“Niwaombe wadau wengine  na jamii kwa ujumla pale tunapoona kuna familia ipo katika mazingira hatarishi sisi tunaowazunguka tuwe wa kwanza kutoa misaada ili kuokoa hiyo familia,sio tu msaada wa kitu bali hata kuwaunganisha na watu wanaoweza  kuwasaidia kwa sababu watoto sio wa serikali peke yake. Alisema Veronika Myango Afisa Ustawi Halmashauri ya Mji Njombe.

Wakizungumza mara baada ya kupokea misaada hiyo Nicholasias Mgaya naOliver Mtewele , amesema kuwa wanaishukuru Halmashauri kwa misaada hiyo kwani wamekuwa wakiishi katika mazingira magumu na malazi yamekuwa tabu kwao.

Kwa wakati huo huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe Illuminatha Mwenda amemuagiza Mtendaji Wa Kijiji Cha Makanjaula kuhakikisha kuwa Wanashirikiana na Uongozi wa Kijiji kuona ni kwa namna gani wanaanza ujenzi wa nyumba ya kuishi ya Bibi Oliver Mtewele ambaye ni Mjane  anayeishi na watoto wake watatu na anaishi katika nyumba ya nyasi kuwa na makazi bora na ya kudumu na amesema kuwa Halmashauri itagharamia ujenzi huo kwa kushirikiana na Serikali ya Kijiji na amesema kuwa zoezi hilo lianze mara moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 17, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SALAMU ZA SHUKRANI

    July 01, 2025
  • SIKU NNE ZA KUSIKILIZA KERO NA MAONI YA WANANCHI LIMEHITIMISHWA KWA MAFANIKIO.

    June 30, 2025
  • Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Njombe atoa wito kwa Wananchi kujitokeza kupata huduma Stendi ya Zamani.

    June 27, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI NJOMBE YAPONGEZWA KWA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • Angalia zote

Video

LUNYANYWI FISH FARM YASHUGHULIKIA KERO ZA WAFUGAJI WA SAMAKI NJOMBE TC
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe