• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MKOA WA NJOMBE WAFANYA KONGAMANO KUMWOMBEA MHESHIMIWA RAIS NA KULIOMBEA TAIFA AMANI

Tarehe iliyowekwa: July 30th, 2022

Wakizungumza kwa wakati tofauti viongozi wa madhehebu ya dini na Kimila  walioshiriki katika kongamano hilo wamesema kuwa Taifa la Tanzania hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Amani  iliyopo katika Taifa letu ambayo ni nadra kupatikana katika mataifa mengine na kufanya Tanzania kuwa Nchi ya kipekee.

Kwa upande wake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye amehamishiwa katika Mkoa wa Songwe Waziri Kindamba ambaye ndiye mgeni rasmi katika kongamano hilo amesema kuwa dhumuni kubwa la kufanya kongamano hilo ni kutokana na sababu kuwa Serikali ya Tanzania ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi imepokea fedha nyingi za utekelezaji wa  miradi mingi ya Maendeleo ambayo ipo iliyokamilika na mingine ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji jambo ambalo limepelekea Mkoa kuandaa maombi ya kumwombea Afya njema Mheshimiwa Rais lakini pia Taifa kuendelea kudumisha Amani,Umoja na Mshikamano

Mchungaji Richard Hananja @hananja.r amesema kuwa ili Taifa liweze kuendelea linahitaji amani na hivyo ni jukumu la Viongozi wa Dini ,Serikali, Wananchi kuombea Amani hiyo Kwa Mwenyezi Mungu ili aweze kuliepusha Taifa  na majanga mbalimbali.

Shekhe Hilary Makarani maarufu Shekhe Kipozeo  amesisitiza kuwa zipo Nchi chache duniani Tanzania ikiwa Miongoni ambazo Wanachi wake hawapendi mifarakano na wanapenda kuishi kwa Amani jambo ambalo Watanzania tunajivunia na kutupasa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi hiyo.

Wakitoa shuhuda zao katika ziara iliyofanyika siku Moja kabla ya Dua hiyo kwa kutembelea miradi inayotekelezwa katika Mkoa wa Njombe ikiwemo miradi ya barabara,soko kuu Njombe na kituo kipya Cha  mabasi  viongozi hao wadini wamesema kuwa Serikali inatekeleza miradi mikubwa ya kimkakati na inayolenga kuwasaidia Wananchi wa Tanzania na hivyo Rais Samia Suluhu Hassan  @samia_suluhu_hassan anapaswa kuombewa na Taifa kuwekwa chini ya maombezi ili  Maendeleo yanayokusudiwa na maono ya viongozi yaweze kuendelea kumfikia kila Mwananchi kwa Amani na utulivu."Binafsi sijawahi kuona barabara ya zege tangu kuzaliwa kwangu mpaka sasa ila nimekuja kuiona Njombe"alisema Hananja.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe