• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Njombe Town Council
Njombe Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MKURUGENZI AKAGUA MIRADI ITAKAYOTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU.

Tarehe iliyowekwa: June 12th, 2024

Zikiwa zimebaki siku 5 kwa Halmashauri ya Mji Njombe kuupokea Mwenge wa Uhuru, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Bi. Kuruthum Sadick Juni 12,2024 amefanya ziara pamoja na menejimeti ya Halmashauri iliyokuwa na lengo la kuangalia njia na hatua za maandalizi ya mapokezi ya Mwenge  kwenye  miradi ya maendeleo.


Halmashauri ya Mji Njombe inatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru  Tarehe 17 Juni, 2024 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Katika kijiji cha Boimanda kilichopo kata ya Matola.


Baada ya shughuli ya mapokezi, Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopo katika kata 6 ambazo ni, kata ya Matola ambapo utafanyika Uzinduzi wa vyumba 3 na ofisi 1 Shule ya Msingi Boimanda na Uzinduzi wa wimbo wa  kikundi cha kwaya unaohamasisha uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024 pamoja nakutoa cheti, kata ya Uwemba utafanyika Ukaguzi wa Msitu wa hifadhi wa asili wa  Isililo pamoja na kugawa mizinga 10 kwa kikundi cha wafugaji wa nyuki, kata ya Yakobi utafanyika Ukaguzi wa shamba la parachichi lenye ukubwa wa ekari 200, kata ya Mjimwema utafanyika Uzinduzi wa kituo cha mafuta cha Amoil, kata ya Njombe Mjini utafanyika Ukaguzi wa kikundi cha vijana cha Sungura Njombe (SUNJO)  na ukaguzi wa klabu ya kupinga Rushwa katika shule ya Sekondari Mpechi na katika kata ya Ramadhani utafanyika Uzinduzi wa jengo la mama na mtoto katika hospitali ya Mji Njombe (Kibena).


Aidha Mwenge wa Uhuru baada yakukamilisha kutembelea miradi ya maendeleo , utaelekea kwenye mkesha utakaofanyika viwanja vya stendi ya zamani Njombe Mjini.  


Wananchi wote mnakaribishwa kuupokea Mwenge wa Uhuru kwenye miradi iliyopo katika maeneo yenu, kukesha na Mwenge wa uhuru na kuukabidhi Mwenge wa Uhuru Halmashauri ya Wilaya ya Makete.


Kauli mbiu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2024 inasema "Tunza mazingira na shiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu". 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI,UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU AWAMU YA PILI. April 25, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI UBORESHAJI WA DAFTARI LA MPIGA KURA. December 20, 2024
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA NJOMBE MHE. JUMA SWEDA ATOA WITO KUHUSU CHANJO YA PILI YA POLIO.

    April 29, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA NJOMBE MJINI AKUTANA NA VYAMA VYA SIASA

    April 24, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA NJOMBE KUKAGUA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 04, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Njombe awaonya wenyeviti kuhusu uharibifu wa miradi ya maendeleo

    February 15, 2025
  • Angalia zote

Video

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe