• Malalamiko |
    • Barua Pepe |
Halmashauri ya Mji Njombe
Halmashauri ya Mji Njombe

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Halmashauri ya Mji Njombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu na uendelezaji wa Miji na Vijiji
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mazingira na Usafishaji
      • Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu.
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Election
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Utamaduni,Sanaa na Michezo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Madini
    • Kilimo na Mifugo
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • Kilimo na Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha,Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya,Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Madiwani
      • Ratiba ya kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu za Maombi mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida

MMEJENGEWA UWEZO NeST - MKAWE BORA KWENYE VITUO VYENU VYA KAZI

Tarehe iliyowekwa: September 8th, 2023

Mafunzo ya matumizi ya mfumo mpya wa kielektroni unaowezesha kufanya Usajili, Kuchakata Zabuni, Kusimamia Mikataba, Malipo na kununua kupitia Katalogi na Minada kimtandao (NeST) National e-Procurement System of Tanzania yamehitimishwa rasmi kwa Halmashauri sita za mkoa wa Njombe .

Septemba 08,2023 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Ndugu Ayubu Mndeme wakati akifunga mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe, ametoa rai kwa watumishi wote waliopatiwa mafunzo hayo kwenda kuwajibika vyema kwenye vituo vyao vya kazi pamoja na kuendelea kukumbushana taratibu za ununuzi.

Amesema mfumo huu unaenda kurahisisha utendaji kazi hivyo ni vyema kila mmoja kufuata utaratibu ulioelekezwa wakati wakuanza kutumia mfumo huo.

Katika hatua nyingine kaimu katibu tawala amewakumbusha watumishi walioshiriki mafunzo hayo kufanya kazi  kwa kuzingatia miiko na maadili ya utumishi umma.

“Rai yangu ni haya tujiepushe kufanya kazi kwa maslahi binafsi ,matokeo yake ni kuharibu kazi.”

Nao baadhi ya washiriki katika semina hiyo akiwemo Alfonce Bruno Afisa ununuzi Halmashauri ya mji Njombe ,Barnabas Lwakala Afisa ununuzi kutoka Halmashauri ya Mji  wa Makambako pamoja Estar Magimila Kutoka Halmashauri ya wilya Njombe wamesema mfumo huo utaendaa kubadilisha na kurahisisha utendaji wa kazi tofauti na kupunguza matumizi ya karatasi kwenye zoezi la ushindani.

Serikali imeamua kutengeneza mfumo mpya baada ya mfumo uliokuwa ukitumika kwenye ununuzi katika sekta za umma TANEPS kubainika kuwa na changamoto,hivyo mfumo wa NeST unaenda kutatua changamoto hizo.

 


Matangazo

  • KUITWA KAZINI NA MAFUNZO TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 21, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI. October 19, 2025
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. April 18, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTAKA AONGOZA MAOMBI YA AMANI KWA TAIFA.

    November 07, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO NJOMBE MJINI AFUNGUA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA .

    October 26, 2025
  • MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA 366 WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO JIMBO LA NJOMBE MJINI.

    October 25, 2025
  • KUBWA KULIKO KUWAHI KUTOKEA NJOMBE MJINI

    October 20, 2025
  • Angalia zote

Video

TANGAZO LA UCHAGUZI JIMBO LA NJOMBE MJINI.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Huduma za Afya
  • Huduma za Elimu
  • Huduma za Biashara

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Mkoa wa Njombe
  • Watumishi portal
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5 na vyuo

Watazamaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi yetu inapatikana barabara ya Njombe-Songea mtaa wa Mjimwema.

    Sanduku la Posta: S.L.P 577

    Simu ya Mezani: 026-2968833

    Simu ya Mkononi: 026-2968833

    Barua Pepe: td@njombetc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Njombe